Vinatabia za fisi kabisa, yani kuwinda hawawindi ila penye mnofu wanajipeleka fasta kama umeme wa REA πππ!Ha ha ha ha ha ha ila vibinti vya kitanzania vina tabia za kikahaba sana na ndio maana milage za kuliwa na kutemwa zipo juu zaidi
Ukishafikwa na janga ndio utajua hujui πππ mara paap hawara wako anagongwa na boss wako!Mapenzi hayaulizi kwanini
usipokuwa na hizo trick itakula kwako Jambo la kwanza kabisa ambalo huwa nalifanya ilkuukomoa moyo nikufuta namba zake kila sehemu ili hata nikimkumbuka nisipate chance ya kumpigia
Halafu Sasa nakuwa nasikilizia simtafuti mpaka anitafute yeye asiponitafuta ndio Basi hiyo kila mtu Afanye mambo yake' tu
Ukishafikwa na janga ndio utajua hujuimara paap hawara wako anagongwa na boss wako!
Hahahaj mbinu hizo amateurs hawaziwezagi
Malalamiko ya kuachana sio ya kujenga bali ni ya kubomoa. Mtu anakujibu kunya mara anakukatia simu hasira hasira za ajabu. Ukiona hayo jua ni muda wa kufungasha virago. Sawa na Disko kaingia Maasai.
Kwahiyo unanisema siyo! Sasa wewe si ndiye kitunguu maji zaidi πHahahahah mnakopendwa si hampataki mnataka kudate na vitunguu maji na pilipili kichaaπ
Wewe endekeza ujinga tu ..utakuja kufa kweli halafu Huyo mwanamke anaendelea kutiwa na watu wengine ... Jifunze kujipenda wewe mwenyewe kwanza ktk maisha na hiyo ndio kanuni ya kwanza muhimu kwa binaadamu wanaopenda Mafanikio katika maisha YaoKiukweli nateseka sana ndugu zangu, huyu mwanamke atanitoa roho. Sijui hana huruma..hivi mtu aliyekupenda na ukampenda sana unaanzaje kumuacha??
Nimetoka kilo 65 mpaka 52. Nina shambulio la moyo sasa kiukweli naona giza bila huyu mwanamke sijui itakuaje
Espy bwanaHaki wanaume wa humu mna machungu jamani, hebu sameheni maisha yaendelee. Mapenzi ni matamu jamani, msijifanye wagumu hivyo mnajikomoa wenyewe kukosa raha ya hii dunia ambayo ni kupenda na kupendwa.
Sasa muumizwe na mmoja machungu muamishie dunia nzima kweli? Mapenzi matamu sana na hayasusiwi, hebu legezeni mioyo tuwapende hadi mshangae.Espy bwana
Bebi mi ni buyu la asali sema we hujajua tu πππKwahiyo unanisema siyo! Sasa wewe si ndiye kitunguu maji zaidi π
Sasa muumizwe na mmoja machungu muamishie dunia nzima kweli? Mapenzi matamu sana na hayasusiwi, hebu legezeni mioyo tuwapende hadi mshangae.
Aaaah jamani, haiwezekani mtu akawa ni mikosi namna hiyo. Basi yeye ndio atakuwa tatizo, anatakiwa ajitathmini na sio kuyasusia mapenzi.thubutu kwamba tumeumizwa na 1 ?? Kuna watu wanaumizwa kila mahusiano waliyo Jaribu kuyaanzisha yamekwenda mrama
Ohoooo shauri yako .. watu wanapoingia in relationship wote wawili kwa kuwa Ni binaadamu tunatarajia kwamba hakuna mkamilifu so mapungufu lazima yawepo kwa wote ... Ila Sasa mahusiano ya siku hizi mmhh nikichomi na nusuAaaah jamani, haiwezekani mtu akawa ni mikosi namna hiyo. Basi yeye ndio atakuwa tatizo, anatakiwa ajitathmini na sio kuyasusia mapenzi.
Hahaha.Haki wanaume wa humu mna machungu jamani, hebu sameheni maisha yaendelee. Mapenzi ni matamu jamani, msijifanye wagumu hivyo mnajikomoa wenyewe kukosa raha ya hii dunia ambayo ni kupenda na kupendwa.
Mmh labda buyu la aloveraπBebi mi ni buyu la asali sema we hujajua tu πππ
Sasa mahusiano kuwa kichomi si wote mmechangia jamani? Ndo mpambane kuyafanya matamu muenjoy maisha.Ohoooo shauri yako .. watu wanapoingia in relationship wote wawili kwa kuwa Ni binaadamu tunatarajia kwamba hakuna mkamilifu so mapungufu lazima yawepo kwa wote ... Ila Sasa mahusiano ya siku hizi mmhh nikichomi na nusu