Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Empiree

Senior Member
Joined
Jun 20, 2020
Posts
102
Reaction score
256
Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchat nk. Nikajua hapa Sina changu .

Siku moja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaishanilamba Block
 
Naweza kupiga call hata 7 na asirespond hata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote

Iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,

"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
 
Hii ndio kulinda bland ya uwanaume sio kulia lia
Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote

iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,

"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
 
Naweza kupiga call ata 7 na asirespond ata akiona missed call
Muda akijisikia kupokea ukimuuliza anasema alikuwa busy na hajaona chochote

iliniwia vigumu kukubaliana na ukweli ila mwisho wa siku nilikaza Roho na kuibukia huku kwenye Uchakataji,

"MIMI NIJE KUPENDA TENA MWANAMKE LABDA NIFE NA KUFUFUKA TENA "
Daaah!! Mkuu pole sana Hawa viumbe Divyo walivyo
 
Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .

Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
 
Duuh!! Mkuu pole sana,,
Hawa Viumbe wanatamaa sana, hapo ukute alipata mshikaji mwingine Akaona akupotezee, ndio akawa anatafuta sababu ya kakuacha.
Hawa viumbe kama unataka kuishi nao vizuri Usimuoneshe unampenda sana. Akijua unampenda sana Atakupeleka
 
Mimi mawasiliano yalianza kupungua. Ukimtumia Msg anajibu P, Tantee,K . Mara Usinipigie Tuchart nk. Nikajua hapa Sina changu .

Sikumoja nilitoka kuoga nikakuta Missed call na Sms moja muda huohuo kwamba ""Ninakupigia Simu upokei..? haya maisha mema" ile namtafta nijitete nakuta kaisha nilamba Block
Nilipoona u busy busy umekuwa mwingi
 
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
Duuh!! Mkuu pole sana,
Hawa Viumbe wanatamaa sana, hapo ukute alipata mshikaji mwingine Akaona akupotezee, ndio akawa anatafta sababu ya kakuacha .
Hawa viumbe kama unataka kuishi nao vizur Usimuoneshe unampenda sana . Akijua unampenda sana Atakupeleka
 
Alikuwa hajibu msg anasema yuko bize, siku nikamwona katulia anachart kwa simu nikamtext holaaaa ........

Nikatafuta nami panapouma, nikaanza mahusiano na jirani yake ile kufahamu katuma sana msg sijawahi jibu mpaka leo.
 
Mimi niliona mawasiliano yanapungua kuuliza akaniambia tutakuja kuongea. Asubuhi sa 11 niliamshwa kwa kibuti.

Kinachoniuma tupo ofisi moja na sasa yupo likizo, akirudi sijui maisha yatakuwaje ya kazi. Kufanya kazi na ex wako afu ulimpenda inaumiza.
 
Haya mambo Mimi yamenikuta siku chache zilizopitaa kitu nilichogundua hapa nimeshaachwa ila najilazimisha kwanza

1.mawasiliano ukimtumia text inavyojibiwa
Kikawaida sio kimahaba tena kama zamani

2.mkiongea kwenye anaongea kwa hasira hasira kila saa analalamika sijui hivi Mara vile mara mwanaume wewe hivi Mara vile

3.kitu kidogo mnagombana na ugomvi wake sio wa kitoto alafu kauli zake kila saa kama umenichoka niambie, Mara sikulazimishi kuwa na mie, Mara upendo wangu kwako umepungua,

4.maji yalivyonifika shingon nikalileta hili jambo jf comments nilizoshauliwa niachane na Huyo mwanamke ameshakuchoka na ukiendelea kumfata fata utaumia zaidi

5.mwisho wa siku niliamua tuu kupotezea niendelee na maisha mengine na demu nae akanipotezea baada ya week mbili alivyogundua nimempotezea alinitext usiku wa manane Mimi na wewe basiii sikumjibu chochote hata simu zake sikuzipokeaa

6.baada ya miezi sita kupita aliniatafuta kuniomba turudiane ila alikuwa kachakaaa kinoma noma
Inapendeza, adui muombee njaa
 
Mimi niliona mawasiliano yanapungua kuuliza akaniambia tutakuja kuongea. Asubuhi sa 11 niliamshwa kwa kibuti.

Kinachoniuma tupo ofisi moja na ss yupo likizo akirudi sijui maisha yatakuwaje ya kazi. Kufanya kazi na ex wako afu ulimpenda inaumiza.
Daah!! Pole sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom