Ulijua? Bagamoyo hakuna mgao wa umeme

nyabhingi

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
15,513
19,998
nimekuwa kwenye semina bagamoyo kwa takribani siku sita na sijawahi kushuhudia mgao,na siku kadhaa nyuma nilikuja kwa shughuli zangu binafsi na sikuona mgao hata siku moja
ili kupata uhakika nikawauliza wakazi wa bagamoyo takribani kumi na wote walisema hawaujui mgao na wanashangaa watu wanaolia mgao.
hivi ni kikwete aliyeagiza umeme usikatwe au tanesco wanajipendekeza?
by the way bagamoyo inajengwa EXPORT PROCESSING ZONE,INTERNATIONAL AIRPORT,na STENDI YA MABASI YA ARUSHA NA MOSHI INATARAJIWA KUWA BAGAMOYO...
 
Hii hatari mpaka nyumbani kwa MKWEREE umeme hakuna.
hujanielewa wewe!nyumbani kwa m k we re umeme haujawahi kukatika sababu ya mgao,..bagamoyo hakuna mgao lakini kwenu na butiama mgao upo
 
nimekuwa kwenye semina bagamoyo kwa takribani siku sita na sijawahi kushuhudia mgao,na siku kadhaa nyuma nilikuja kwa shughuli zangu binafsi na sikuona mgao hata siku moja
ili kupata uhakika nikawauliza wakazi wa bagamoyo takribani kumi na wote walisema hawaujui mgao na wanashangaa watu wanaolia mgao.
hivi ni kikwete aliyeagiza umeme usikatwe au tanesco wanajipendekeza?
by the way bagamoyo inajengwa EXPORT PROCESSING ZONE,INTERNATIONAL AIRPORT,na STENDI YA MABASI YA ARUSHA NA MOSHI INATARAJIWA KUWA BAGAMOYO...

Kwa hiyo wasafiri walioko Dar wata-drive all the way to Bagamoyo kupanda mabasi ya Moshi & Arusha? Nashawishika kusema kuwa Kitweke katika urais alikuwa na clear vision juu ya Bagamoyo, lakini sina hakika ana vision ya nchi nzima. Na kuna kipindi nahisi kama anataka kuifanya Bagamoyo iwe ndio makao makuu maana tulisikia bandari kubwa itajengwa huko, sasa International airport.

Dar es Salaam is ther economic hub ya nchi, inakuwaje umeme usiwepo kwenye sehemu muhimu kama Dar lakini uwepo Bagamoyo ambapo ki-uchumi sio muhimu sana (walau kwa sasa)?
 
Kwa hiyo wasafiri walioko Dar wata-drive all the way to Bagamoyo kupanda mabasi ya Moshi & Arusha? Nashawishika kusema kuwa Kitweke katika urais alikuwa na clear vision juu ya Bagamoyo, lakini sina hakika ana vision ya nchi nzima. Na kuna kipindi nahisi kama anataka kuifanya Bagamoyo iwe ndio makao makuu maana tulisikia bandari kubwa itajengwa huko, sasa International airport.

Dar es Salaam is ther economic hub ya nchi, inakuwaje umeme usiwepo kwenye sehemu muhimu kama Dar lakini uwepo Bagamoyo ambapo ki-uchumi sio muhimu sana (walau kwa sasa)?
baada ya kuona hakubaliki nationwide,ameamua kupeleka resource za nchi nzima bagamoyo,atleast akubalike nyumbani,..funny nyerere alikubalika tz na butiama ingawa hakupeleka barabara ya lami kwao
 
nimekuwa kwenye semina bagamoyo kwa takribani siku sita na sijawahi kushuhudia mgao,na siku kadhaa nyuma nilikuja kwa shughuli zangu binafsi na sikuona mgao hata siku moja
ili kupata uhakika nikawauliza wakazi wa bagamoyo takribani kumi na wote walisema hawaujui mgao na wanashangaa watu wanaolia mgao.
hivi ni kikwete aliyeagiza umeme usikatwe au tanesco wanajipendekeza?
by the way bagamoyo inajengwa EXPORT PROCESSING ZONE,INTERNATIONAL AIRPORT,na STENDI YA MABASI YA ARUSHA NA MOSHI INATARAJIWA KUWA BAGAMOYO...

AIRPORT kama zilizopo zitaboresha kwanza au kama hiyo ya bagamoyo ina link na utalii sipindi hoja,
ila hilo la umeme lina maswali ya kujibu kidogo hapo.
lakini hivi kikwete anatokea wapi? bagamoyo au chalinze maana tusije lishana matango pori hapa

taifa kwanza
 
nimekuwa kwenye semina bagamoyo kwa takribani siku sita na sijawahi kushuhudia mgao,na siku kadhaa nyuma nilikuja kwa shughuli zangu binafsi na sikuona mgao hata siku moja
ili kupata uhakika nikawauliza wakazi wa bagamoyo takribani kumi na wote walisema hawaujui mgao na wanashangaa watu wanaolia mgao.
hivi ni kikwete aliyeagiza umeme usikatwe au tanesco wanajipendekeza?
by the way bagamoyo inajengwa EXPORT PROCESSING ZONE,INTERNATIONAL AIRPORT,na STENDI YA MABASI YA ARUSHA NA MOSHI INATARAJIWA KUWA BAGAMOYO...

Amechaguliwa kama rais wa Bagamoyo au Tanzania?Sina shaka kwamba Kikwete atakuwa rais atakayemaliza kipindi chake cha uongozi huku Watanzania hawatataka kusikia jina lake.
 
Huku Tabata nilipo mimi umemem haukatiki sasa na huku kikwete ana kimada labda tuseme au
 
Hata Magufuli kuzuiwa bomoabomoa ni sababu ya nyumba za wakwere zilizoko karibu na lami....msoga
 
Bagamoyo hakuna tatizo la umeme kwani wanatumia Generator yenyeuwezo wa kuzalisha umeme mpaka wa ziada, pia matumizi ya umeme ni kidogo hakuna viwanda
 
Na bado wanataka kujenga Uongozi Institute Mbegani...wame allocate 400 acres Mbegani...Bandari mpya,Airport mpya...kila kitu Mbegani Bagamoyo tuu...Y not Dodoma?
 
Huku Tabata nilipo mimi umemem haukatiki sasa na huku kikwete ana kimada labda tuseme au

Kweli tuwe na hoja zenye mashiko.
Nitaongezea kidogo:
Hivi jamani... hata kama watu wana hasira ya kukosa umeme (ni sawa kabisa), ni lazima kukosa heshima namna hii? Ukiachilia mbali kuwa Kikwete ni rais wa JMT, tukumbuke ni baba, babu na mume.Wote hawa wanaguswa na lugha hizi zisizo na heshima.

Hebu aheshimiwe huyu kiongozi. Vinginevyo wanaoandika malalamiko yao watapuuzwa kama wahuni tu.Ifike mahali watu wajue kuweka mmbo serious kwa lugha serious.
 
Back
Top Bottom