Ulijifunza nini ulipo.......!!!!!!!!!!


Siyo kama na mtazamo mbaya wa kucheat ila mtu anaye cheat ndivyo navyomchukulia.....

Kama hayuko vzuri kwenye 6x6 na wew kigezo chako muhimu ni hapo kwanin usimtafute huyo mzuri kwenye 6x6 ili usimcheat huyo uliyenaye..........na kama hauwezi kumwacha kwa sababu hyo basi mvumilie na ufundishe kile unachotaka.......mana akuna aliyezaliwa akajua watu wanajifunza.....

Kwahyo kuruhusiwa kwenda kucheat wew umeona sawa...? Aiseee na utafanya hvyo....?
 
Kwenye ndoa kila mmoja ana majukumu yake
Ukilijua hili na mkeo akalijua hili takuwa mmepunguza 60% ya matatizo ya kwenye ndoa!
N akwenye ndoa Mkuu Eiyer kila mtu ana sehemu yake ya kuplay na anatakiwa aiplay vyema
Muhimu kujua kuwa pande mbili kwenye ndoa kushirikiana na kupeana miongozo ya namna ya kuboresha ndoa zao
 
Last edited by a moderator:
Binafsi ilinisaidia kumpata the ryt one ambae ndo mmiliki halali kwa sasa, so smtymz ni nzur kama bado humpata the ryt one!
 
Binafsi nilijifunza kwamba zimwi likujualo halikuli likakwisha
 
ndugu yangu tusidanganyane mpango wa kando haukwepeki,embu nikuulize hivi wewe kila siku unakulaga maharage tu nyumbani kwako? mmmmh sidhani lazima ule dagaa siku nyingine nyama,mboga za majani au sio hata omba omba wenyewe wanakula baga siku hizi.
 
Yeah!!!! Men will always be men...Mkuki kwa nguruwe siyo.... kwa binadamu maumivu makali.


 
Last edited by a moderator:
Unaweza kunithibitishia hili?
Eiyer bana . . .
Sasa nikishakuthibitishia ndo inakuweje?

BTW,
Sihitaji kukuthibitishia wala kukushawishi kwa namna yeyote.
Ni wewe mwenyewe . . . . aidha uchague kuamini au kutokuamini.
Kwani hakuna kitakachobadilika!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer bana . . .
Sasa nikishakuthibitishia ndo inakuweje?

BTW,
Sihitaji kukuthibitishia wala kukushawishi kwa namna yeyote.
Ni wewe mwenyewe . . . . aidha uchague kuamini au kutokuamini.
Kwani hakuna kitakachobadilika!

Cha kubadilika kipo sana tu
Labda iwe hutaki tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…