Ulieumizwa Karibu

Ulieumizwa Karibu

Yule msanii wa Bongo Movie kakutema? teh teh! akinadada angaliani mwishoe mtakia kuwa kama MASKREPA.
 
chezea maisha yakikunyuka wewe,yaani utajaribu kila mbinu,usikute enzi zake yuko juu alikua ana nyodo sana kwa mamen.

Wakenya husema ,we msupu fanya nyodo kwa guys ndo utakuja jua menopause si ugonjwa ya meno.
Mkuu umenichekesha sana kwa wakenya hapo..
 
Uzi wako mzur lakini hauna varidity can you plse identify kwanza sio unapolomasha uzi tu
 
Habari,.

kwa moyo mweupe kabisaa...bila kulazimishwa na mtu yoyote,nimeamua kupost huu uzi hapa nikiamini ntakuwa faraja kwa mmoja wa wahusika hawa!!.

mwanaume ulieumizwa kimapenzi au kukosa furaha ya maisha ingawa kwa namna fulani,.hadi ukafikia hatua ya kuyachukia kabisa...sikushawish kurudi huko ila nahitaji kuwa kampani yako...mshauri wako na mengine mengi!!,sichagui umri,rangi,dini wala kabila,atleast uwe na maisha yako matulivu!!.

pia nafasi hii iende kwa masingle father,.baba anaelea watoto wake peke yake pia anakaribishwa!!.ntajitahdi kuwa faraja kwako,na kukupa furaha pengne uliikosa kutokana na mazingira au kazi!!. am addicted to babiez.. !serious.

ni PM panapo majaliwa tutatafutana Watsapp na mengne....

NB; tafadhali,wa~mme za watu wenye wake zenu hamruhusiwi,pamoja na wanaume mliopo kwenye uchumba au mahusiano ya kimapenzi.

Jioni Njema.

Wote hao utawapa vipi 'huduma'??!! na nahisi huwa hutumii condom wewe
 
https://www.jamiiforums.com/love-connect/675837-kunifundisha-kuogelea-2.html
Habari,


Wiki hii au ijayo...Natafuta mwanaume anaejua kuogelea maji mafupi na maji marefu,

Nahitaji mwalimu mzuri,

Awe mrefu kidogo,mwili wa mazoezi!,asiwe mweupe sana,akiwa mweusi ni sawa ila usipitilize!!..

Ajue utundu wa ndani ya maji,

Sauti na kujua kuimba ni sifa ya ziada!!.

Umri 23~30.!

Nikifurahishwa na somo lako nikajua haraka basi utapata ofa ya kuangalia muvi na mimi/kuspend usiku mzima tukipiga stori.

NB; Gharama zote kwako.


Umeshampata wa kukufundisha kuogelea? Wewe mwenyewe unaonekana stressed na nadhani unahitaji counselor wa mambo ya mahusiano ama saikolojia
 
anaamanisha yule aliyezinguliwa na mwandani wake na kutendwa
aende kwake atapata faraja kwake mm nilivyomuelewa mtoa mada

kwani wewe umekosa faraja; mpaka utake faraja toka kwangu?
..mie sijaelewa, ni faraja gani hiyo??
wewe waweza nipa faraja??
 
dada mim nipo tayali kuwa na wewe,namba yangu ni 0763175935..bila kulazimishwa na mtu yoyote,nimeamua kupost huu uzi hapa nikiamini ntakuwa faraja kwa mmoja wa wahusika hawa!!.

mwanaume ulieumizwa kimapenzi au kukosa furaha ya maisha ingawa kwa namna fulani,.hadi ukafikia hatua ya kuyachukia kabisa...sikushawish kurudi huko ila nahitaji kuwa kampani yako...mshauri wako na mengine mengi!!,sichagui umri,rangi,dini wala kabila,atleast uwe na maisha yako matulivu!!.

pia nafasi hii iende kwa masingle father,.baba anaelea watoto wake peke yake pia anakaribishwa!!.ntajitahdi kuwa faraja kwako,na kukupa furaha pengne uliikosa kutokana na mazingira au kazi!!. am addicted to babiez.. !serious.

ni PM panapo majaliwa tutatafutana Watsapp na mengne....

NB; tafadhali,wa~mme za watu wenye wake zenu hamruhusiwi,pamoja na wanaume mliopo kwenye uchumba au mahusiano ya kimapenzi.

Jioni Njema.[/QUOTE]
 
anaamanisha yule aliyezinguliwa na mwandani wake na kutendwa
aende kwake atapata faraja kwake mm nilivyomuelewa mtoa mada

kwani wewe umekosa faraja; mpaka utake faraja toka kwangu?

Mimi sina faraja kwa kweli, Ni mpweke na mhitaji..lol
 
pole mwaya kwa kukosa huo upweke ipo siku Mungu atakuondolea upweke ulionao dhidi kumuomba yeye kwani ndiye anayeweza yote bestito jifanye kama hujajiona jinsi ulivyompweke

nakushauri kuwa mtu wa maombi, sana na vilevile pendelea kusoma vitabu mbalimbali vya kukuchangamsha, na vilevile pendelea kuwa katika majumuiko kama vile fellowship za kiroho au mpira kama wewe ni mpenzi wa mpira, au kuwa na marafiki tofauti wenye mambo ya kimaendeleo na kukupa kampani ukifanya hivyo utaondoka na hiyo hali ya kujiona mpweke nakuhahakikishia kabisa best usijali kwa hilo

Je ulishawahi kupitia hali tofauti kama vile kutendwa vibaya? samahani kma nitakuwa nimekuboa kwa swali hili
Mimi sina faraja kwa kweli, Ni mpweke na mhitaji..lol
 
pole mwaya kwa kukosa huo upweke ipo siku Mungu atakuondolea upweke ulionao dhidi kumuomba yeye kwani ndiye anayeweza yote bestito jifanye kama hujajiona jinsi ulivyompweke

nakushauri kuwa mtu wa maombi, sana na vilevile pendelea kusoma vitabu mbalimbali vya kukuchangamsha, na vilevile pendelea kuwa katika majumuiko kama vile fellowship za kiroho au mpira kama wewe ni mpenzi wa mpira, au kuwa na marafiki tofauti wenye mambo ya kimaendeleo na kukupa kampani ukifanya hivyo utaondoka na hiyo hali ya kujiona mpweke nakuhahakikishia kabisa best usijali kwa hilo

Je ulishawahi kupitia hali tofauti kama vile kutendwa vibaya? samahani kma nitakuwa nimekuboa kwa swali hili

...hapana, sijawahi kutendwa..lakini sijawahi kupenda, je nina tatizo??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom