Ulieumizwa Karibu

Ulieumizwa Karibu

Mom Fay

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
1,059
Reaction score
316
Habari.

Kwa moyo mweupe kabisaa bila kulazimishwa na mtu yoyote, nimeamua kupost huu uzi hapa nikiamini ntakuwa faraja kwa mmoja wa wahusika hawa.

Mwanaume ulieumizwa kimapenzi au kukosa furaha ya maisha ingawa kwa namna fulani,.hadi ukafikia hatua ya kuyachukia kabisa...sikushawish kurudi huko ila nahitaji kuwa kampani yako...mshauri wako na mengine mengi!!,sichagui umri,rangi,dini wala kabila,atleast uwe na maisha yako matulivu!!.

pia nafasi hii iende kwa masingle father,.baba anaelea watoto wake peke yake pia anakaribishwa!!.ntajitahdi kuwa faraja kwako,na kukupa furaha pengne uliikosa kutokana na mazingira au kazi am addicted to babys

ni PM panapo majaliwa tutatafutana Watsapp na mengne.

NB; tafadhali,wa~mme za watu wenye wake zenu hamruhusiwi,pamoja na wanaume mliopo kwenye uchumba au mahusiano ya kimapenzi.

Jioni Njema.
 
Heee mutumeee.
Ngoja nichangamkie tenda.
Amu singo babu
 
unahamu and this style is always thought to be unique hongera kwa kutafuta mchumba
 
Una mioyo mingapi wewe mama. Maana hayo maneno yako "mengine mengi "yana ulakini.
 
Kuna wengine ukishatuwekea tu tahadhari ndio unakua umetuita. 'Curiosity killed that cat' husema lara 1.

Kila la kheri bhana mualikaji na waalikwa.
Habari,.

NB; tafadhali,wa~mme za watu wenye wake zenu hamruhusiwi,pamoja na wanaume mliopo kwenye uchumba au mahusiano ya kimapenzi.
.
 
Last edited by a moderator:
hiyo tahadhari sisi tusitakiwa ndio imenivutia jiandae....!
 
Utawapa "faraja" gani??
je, utachagua mmoja kati ya watakaotuma maombi au utatoa "faraja" kwa wote??,
 
nimeipenda sana hii..........twende PM nina vigezo vyote mama.Nahisi ndoto yangu itatimia
 
Habari,.

kwa moyo mweupe kabisaa...bila kulazimishwa na mtu yoyote,nimeamua kupost huu uzi hapa nikiamini ntakuwa faraja kwa mmoja wa wahusika hawa!!.

mwanaume ulieumizwa kimapenzi au kukosa furaha ya maisha ingawa kwa namna fulani,.hadi ukafikia hatua ya kuyachukia kabisa...sikushawish kurudi huko ila nahitaji kuwa kampani yako...mshauri wako na mengine mengi!!,sichagui umri,rangi,dini wala kabila,atleast uwe na maisha yako matulivu!!.

pia nafasi hii iende kwa masingle father,.baba anaelea watoto wake peke yake pia anakaribishwa!!.ntajitahdi kuwa faraja kwako,na kukupa furaha pengne uliikosa kutokana na mazingira au kazi!!. am addicted to babiez.. !serious.

ni PM panapo majaliwa tutatafutana Watsapp na mengne....

NB; tafadhali,wa~mme za watu wenye wake zenu hamruhusiwi,pamoja na wanaume mliopo kwenye uchumba au mahusiano ya kimapenzi.

Jioni Njema.

We juzi uliandika kuwa unamimba ukawa unataka ushauri! je hiyo mimba umetoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom