Ulianzaje kukaa gheto?

Kama Wewe Umepanga Kwenye Chumba Kimoja A.K.A Ghetto,Hebu Nipe Motivational Speech au Ushauri.
..
Me Nina Miaka 21 Nimechoka Kukaa Nyumbani!!
 
The same kwangu. Niko ghetto kwakuwa niko chuo, sikutaka habari za hostel. Mfano nisingefaulu nisingekuja ghetto maana ningekuwa nakusanya hela ya maana kununua vitu vingi zaidi. Wakati niko home nasubiri kuja chuo nilikuwa natoka saa 12 narudi saa 2 usiku daily jambo ambalo lingenifanya nisiweze kupanga.
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pitia humo mkuu....Kuna kila aina ya inspiration

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…