Ndugu yangu Eliah naona we huelewi maana ya utani, hata unavyosema nimewatukana wachaga nadhan utakuwa umekosea, this iz just a joke kama hukuipenda au imekugusa ipotezee si lazima kucoment.Mkuu,mbona kila siku unapost upupu tu humu?
Naona ni post yako ya tatu,ulianza na kutukana wachaga;
Inaonesha akili yako imejaa ngono!!!
Ndugu yangu Eliah naona we huelewi maana ya utani, hata unavyosema nimewatukana wachaga nadhan utakuwa umekosea, this iz just a joke kama hukuipenda au imekugusa ipotezee si lazima kucoment.