mbatia mnzava
Member
- Jul 1, 2011
- 27
- 3
jamaa mmoja alienda sehemu ya mbali.sikumoja jamaa alikuwa amelewa sana(chakari)akiwa anaelekea nyumbani akakutana na mama mmoja.yule mama akamuuliza hivi wew unamjua mungu?yule mlevi akamjibu hivi:mimi ni mgeni hapa huyo mungu mbona simfahamu!