BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,513
- 474
Mtoa mada hajahamia digital.
Ungekuwa umehama analojia usingeleta mada hii jamvini.
Nakupa mfano mdogo tu kwamba mwaka jana niliitwa kwenda interview Lindi, check umbali wa kutoka Dodoma hadi Lindi achia mbali nauli yake kwa mtu ambaye hana kazi.
Niliamua nisiende kwa sababu ya kukosa nauli lakini kuna rafiki yangu mmoja akaniongezea kidogo na kunisisitiza nenda maana watu wengi hawataenda kwa sababu ya umbali na mazingira ya huko. Nikapanda gari nikaenda, sikuwahi kufika huko-nifupishe tu kwamba nafasi zilikuwa 12 na tuliitwa watu 178 takriban watu 170 walihudhuria nikiwemo mimi.
Sasa mtoa mada sijui kama unaelewa kiu ya watu kupata kazi. Yawezekana unawadhihaki watafuta ajira.
Ungekuwa umehama analojia usingeleta mada hii jamvini.
Nakupa mfano mdogo tu kwamba mwaka jana niliitwa kwenda interview Lindi, check umbali wa kutoka Dodoma hadi Lindi achia mbali nauli yake kwa mtu ambaye hana kazi.
Niliamua nisiende kwa sababu ya kukosa nauli lakini kuna rafiki yangu mmoja akaniongezea kidogo na kunisisitiza nenda maana watu wengi hawataenda kwa sababu ya umbali na mazingira ya huko. Nikapanda gari nikaenda, sikuwahi kufika huko-nifupishe tu kwamba nafasi zilikuwa 12 na tuliitwa watu 178 takriban watu 170 walihudhuria nikiwemo mimi.
Sasa mtoa mada sijui kama unaelewa kiu ya watu kupata kazi. Yawezekana unawadhihaki watafuta ajira.