Nkonyaboy
New Member
- Aug 9, 2020
- 4
- 0
Kaka angu amekuwa mgonjwa wa ulcers ya macho takribani miez 10 now, ametmuia dawa za kila aina hospital lakini tatizo limezid kuwa baya zaid macho yamepoteza kronea na sas hawez kuona tena na madaktar wameconfirm hivo.
Kuna alternative gani naweza solve tatizo la kaka msaada please kwa anaye jua
Kuna alternative gani naweza solve tatizo la kaka msaada please kwa anaye jua