Ulaya unashtakiwa

Ulaya unashtakiwa

km haki za binadamu tu zimetushinda kutekana tekana na mambo kibao ya kishamba usidhani kwa haki za wanyama itakua rahisi
 
Na tume ya haki za wanyama View attachment 968129
N hatari sasa
IMG-20181214-WA0068.jpeg
 
Kabisa au basi kama issue ni kuchafua gari na shombo la mbuzi kwenye gari wangenunua hata jaba kubwa wakamuwekea na majani halafu wakamuweka hapo nyuma vioo hawafungi...
serving the cost
 
serving the cost
Wamezingua sana, hebu ona sasa gari ilivyoanikwa mitandaoni, mpaka kufikia kesho watu watakua washajua ni gari anayotumia nani then anaanikwa, mbaya zaidi unakuta nimtu ambaye watu wanamchukulia kuwa ni mcha Mungu Sana.
 
Kuna watu/viongozi watatumia hili tukio kama kiki......wabongo kwa kiki si wa mchezo mchezo
 
Hivi ile TSPCA kilifia wapi Kama kipo wajitokeze Kama hakipo nakifufua nipige mshiko was Hawa makatili was wanyama na ndege
 
Back
Top Bottom