Ibanda1
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 705
- 1,092
Habari wakuu
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja,baada ya msoto wa kutembea kwa miguu kwa miaka mingi bas niksjichanga changa ili ni usafiri na kila nilipoomba ushauri kwa wengi wakaniambia TOYOTA IST ni nzuri ukizngatia ulaji wa mafuta na uimara waje
Sikuweza kuagiza kutoka japani bali niliinunua kwa mtu na kila nilipoiangalia ilikua imara na hata mafundi walinisihi kuwa ilikua sawa haswaa
Sasa ni mwezi ila jehanam nayoipata juu ya ulaji wa mafuta wa hili gari ni ngumu kuhimili inabugia litre1 kwa km 7-8,nikiweka mafuta ya 10,000 bado taa ya mafuta inacheza kwa dashboard
Jumamosi niliweka kiwese cha 45,000 kama litre 18 hadi leo nmesogeza km 87 inaniwashia taa ya mafuta tena,naombeni msaada wa kiufundi wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja,baada ya msoto wa kutembea kwa miguu kwa miaka mingi bas niksjichanga changa ili ni usafiri na kila nilipoomba ushauri kwa wengi wakaniambia TOYOTA IST ni nzuri ukizngatia ulaji wa mafuta na uimara waje
Sikuweza kuagiza kutoka japani bali niliinunua kwa mtu na kila nilipoiangalia ilikua imara na hata mafundi walinisihi kuwa ilikua sawa haswaa
Sasa ni mwezi ila jehanam nayoipata juu ya ulaji wa mafuta wa hili gari ni ngumu kuhimili inabugia litre1 kwa km 7-8,nikiweka mafuta ya 10,000 bado taa ya mafuta inacheza kwa dashboard
Jumamosi niliweka kiwese cha 45,000 kama litre 18 hadi leo nmesogeza km 87 inaniwashia taa ya mafuta tena,naombeni msaada wa kiufundi wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app