Ulaji mpya huooo! Wazee wa connection naamini wameshajipanga

Imeisha hiyo kila zama na "NTU WAKE" ,wanaingia watu wengine kwenye connection.

-TBA iendelee na kazi yake kama awali - Regulation tu
-Suma JKT wafanye kazi nyingine.

Sisi kwenye sector ya ujenzi tumeathirika sana na uwepo wa TBA na suma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…