Ukweni Pamoto Jamani, yamenikuta

Ukweni Pamoto Jamani, yamenikuta

😀😀😀 mwanaume unakimbia NYOKA duuhh !
 
Nimeishia hapo kwa mchumba Chamdeko ‘bin’ Kipepeo, taikon wa fasihi anayetumia bin kwa binti mchumba ni taikuni kweli kweli.... usichoke kujifunza utakuwa mtunzi mahiri.
 
Nisingefanya hiyo kazi maana pale nimeenda kuoa sio kuomb kazi sasa napewa majaribio,maana baada ya hizo kazi uwezi pewa mwanamke bure bado watakupiga mali
 
Huu mwaka wa pili nasubiri part two hijatutendea haki kabisa
 
Back
Top Bottom