Hao wengine naona wame mmaindi ila wanashindwa wafanyaje hahahaha alafu mwenyewe hana habari naoSasa janaume zima linasuguliwa miguu na mwanaume mwenzie ndo nn Sasa, hili jamaa boya sanaView attachment 1180587
Huo ndio mwanzo wa kuliwa Sheikh wanguBora huyo kuliko kuliwa kabisa .
Bila Shaka na ww utakua na tabia hizi , acha mara moja ,mbioni kuja kupakuliwaHapo umeshahusianisha na ushoga!
Kuna kipindi yule jamaa anajiita Barbarosa alileta uzi mmoja sensitive sana wa kuhusu tabia ya watanganyika kuoanisha kila jambo na ushoga!
Japo kweli mwanaume kusuguliwa miguu haijakaa sawa sana, lakini ungefuata mambo yanayokuhusu badala ya kujipa kazi ya utarishi ya kuripoti kila unachokiona mtaani kwako!
Dalili za umama!