Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,377
Sina haja ya salamu maana nimefedheheshwa na kitendo nilichokiona leo.
Nilikua kwenye harakati zangu za kusaka maokoto mitaa ya Malimbe SAUT
Katika pita pita zangu lahaulaaa!! Namkuta njemba na kipensi chake yupo salon kalowekwa miguu inaoshwa oshwa na kusafishwa kucha kama wanavyofanyiwa wale wamama kwenye salon zao.
Jamaa kapandisha mguu wake kwa msela mwenzake anaoshwa miguu.
Hakika niliona aibu mimi na kujisemea kwa kweli wanaume tunapungua sana.
Dume zima unaendaje salon ya kike kuanza kuoshwa miguu na kusafishwa kucha kama mwali..??
Nimeshangaa sana labda mi mshamba lakini hii ya leo imenifedhehesha sana.
Nilikua kwenye harakati zangu za kusaka maokoto mitaa ya Malimbe SAUT
Katika pita pita zangu lahaulaaa!! Namkuta njemba na kipensi chake yupo salon kalowekwa miguu inaoshwa oshwa na kusafishwa kucha kama wanavyofanyiwa wale wamama kwenye salon zao.
Jamaa kapandisha mguu wake kwa msela mwenzake anaoshwa miguu.
Hakika niliona aibu mimi na kujisemea kwa kweli wanaume tunapungua sana.
Dume zima unaendaje salon ya kike kuanza kuoshwa miguu na kusafishwa kucha kama mwali..??
Nimeshangaa sana labda mi mshamba lakini hii ya leo imenifedhehesha sana.