Ukweli Wanaume aina hii wanaboa sana

Ukweli Wanaume aina hii wanaboa sana

naona njemba mbili hizo pembeni zinamuangalia jamaa kwa jicho la kisodoma.
mwenyewe hana habari na sijui castle light zake mbili..
 
Wenye uelewa na maisha ya NDOA nadhani wanaweza kuelezea kwa uzuri ili jambo, vinginevyo si sahihi hiyo tabia.

LABDA TUSEME:
Baadhi ya wajeda walioOA wake zao wanajua kung'arisha boot hasa pale mbele panapotakiwa kung'aa zaidi. Hii ni kutokana na mazingira na maisha wanayoishi hapo barracks.

WENYE NDOA:
Mwanaume au Mwanamke, majukumu kadha wa kadha ya usafi wa sehemu za mwili kama hizo ni jukumu la kila mmoja kumfanyia mwenzake sasa hii tabia sijui imevunwa kutoka wapi?
 
Bora huyo kuliko kuliwa kabisa .
Kweli kabisa kuliko kuwa hivi
tapatalk_1564893878930.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom