Ukweli wa Polepole Usipuuzwe kwa Sababu ya Hulka

Bashiru ana akili kuliko Polepole ila amenyamaza kimya kabisa, Polepole naye anapaswa kukubaliana kwamba wakati wake kutesa umeisha, sasa ni zamu ya wengine.
 
Huyu haaminiki tena , aliwasaliti watanzania juu ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi na alishiriki uchafuzi mkuu 2020 daima hii dhambi itamuandama tu.
 
Ukweli una thamani bila kujali Nani katamka, na kwa wakati gani!
 
Big up kwa uchambuzi mujarabu; ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama anayesema ni shetani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…