Ukweli wa Kifaranga na Hatima ya Katiba Mpya

Aug 13, 2015
33
104
Inawezekana hizi awamu CCM waliziweka kimkakati sana. Pengine labda bila hizi awamu tungekua na katiba mpya. Pengine ndo maana wenye upeo sisiemu walileta awamu (taste tofauti) zitakazofanya watanzania waendelee kutawaliwa na sisiemu.

Naam inajulikana vizuri kwamba ili kifaranga kiendelee kuishi hapa duniani, huhitaji kupasua yai lake hili kitoke. Ukisaidia kupasua yai lake hili kitoke, hakichukui mda kinakufa.

Nilikua najiuliza why Hayati, the greatest Nyerere hakutaka katiba abadilishe kipindi kile, kumbe alitaka tuwe kama kifaranga. Yes, katiba inahitaji tuwe vifaranga otherwise tuta dance na hii ngoma pendwa ya sisi-emu tufanye hivi!!!!
Ni ayoo tu.
 
Wewe Unaweza kudai katiba mpya kwa dhati nje ya mtandao?
 
Inawezekana hizi awamu CCM waliziweka kimkakati sana. Pengine labda bila hizi awamu tungekua na katiba mpya. Pengine ndo maana wenye upeo sisiemu walileta awamu (taste tofauti) zitakazofanya watanzania waendelee kutawaliwa na sisiemu.

Naam inajulikana vizuri kwamba ili kifaranga kiendelee kuishi hapa duniani, huhitaji kupasua yai lake hili kitoke. Ukisaidia kupasua yai lake hili kitoke, hakichukui mda kinakufa.

Nilikua najiuliza why Hayati, the greatest Nyerere hakutaka katiba abadilishe kipindi kile, kumbe alitaka tuwe kama kifaranga. Yes, katiba inahitaji tuwe vifaranga otherwise tuta dance na hii ngoma pendwa ya sisi-emu tufanye hivi!!!!
Ni ayoo tu.

Cheki dm
 
Inawezekana hizi awamu CCM waliziweka kimkakati sana. Pengine labda bila hizi awamu tungekua na katiba mpya. Pengine ndo maana wenye upeo sisiemu walileta awamu (taste tofauti) zitakazofanya watanzania waendelee kutawaliwa na sisiemu.

Naam inajulikana vizuri kwamba ili kifaranga kiendelee kuishi hapa duniani, huhitaji kupasua yai lake hili kitoke. Ukisaidia kupasua yai lake hili kitoke, hakichukui mda kinakufa.

Nilikua najiuliza why Hayati, the greatest Nyerere hakutaka katiba abadilishe kipindi kile, kumbe alitaka tuwe kama kifaranga. Yes, katiba inahitaji tuwe vifaranga otherwise tuta dance na hii ngoma pendwa ya sisi-emu tufanye hivi!!!!
Ni ayoo tu.

Cheki dm
 
Back
Top Bottom