Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,967
- 55,068
Ndoa nyingi za siku hizi zinavunjika kwasababu zinaendeshwa kidini katika ulimwengu wa kisasa.
Ndoa za kileo zinafaidisha wanawake zaidi kuliko wanaume, ukweli mchungu zaidi ni kwamba sheria nyingi zilizopo katika nchi nyingi duniani zinambeba mwanamke kuliko mwanaume kwenye migogoro ya ndoa na familia.
Mpaka sasa sijaona hoja za msingi za wanaowapiga spana kataa ndoa,eleezeeni vijana faida za kuingia kwenye ndoa ambazo waliopo nje ya ndoa hawazipati ili washawishike!
Asilimia kubwa ya wanaokataa ndoa wana wasiwasi na imani za kikoloni ( kikristo na kiislam) kwa hiyo kuwaeleza umuhimu wa ndoa kwa maandiko haisaidii chochote sababu wenyewe wana wasiwasi na yanayosemwa katika hizo imani.
Mengi yasemwayo kuhusu ndoa katika imani hizo ni kinyume kabisa na uhalisia wa maisha ya sasa.
Ndoa za kisasa hazijakaa kidini zimekaa kisiasa na usasa, huwezi kuendesha ndoa za kisasa kwa kututumia imani za dini,ni uongo,
KATAA NDOA wana hoja ya msingi kwa upande wao,50/50, utandawazi,na feminist wamekuja kuuwa ndoa za kidini rasmi.
Ndoa za kileo zinafaidisha wanawake zaidi kuliko wanaume, ukweli mchungu zaidi ni kwamba sheria nyingi zilizopo katika nchi nyingi duniani zinambeba mwanamke kuliko mwanaume kwenye migogoro ya ndoa na familia.
Mpaka sasa sijaona hoja za msingi za wanaowapiga spana kataa ndoa,eleezeeni vijana faida za kuingia kwenye ndoa ambazo waliopo nje ya ndoa hawazipati ili washawishike!
Asilimia kubwa ya wanaokataa ndoa wana wasiwasi na imani za kikoloni ( kikristo na kiislam) kwa hiyo kuwaeleza umuhimu wa ndoa kwa maandiko haisaidii chochote sababu wenyewe wana wasiwasi na yanayosemwa katika hizo imani.
Mengi yasemwayo kuhusu ndoa katika imani hizo ni kinyume kabisa na uhalisia wa maisha ya sasa.
Ndoa za kisasa hazijakaa kidini zimekaa kisiasa na usasa, huwezi kuendesha ndoa za kisasa kwa kututumia imani za dini,ni uongo,
KATAA NDOA wana hoja ya msingi kwa upande wao,50/50, utandawazi,na feminist wamekuja kuuwa ndoa za kidini rasmi.