UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,527
- 7,732
Mwendazake ambaye alidhibiti vizuri mfumko wa bei na kuwajali wananchi mlimlalamikia sana; sasa huyu kaingia ndani ya mwaka mmoja tu mnasema ameumiza wananchi kupita kiasi!Ameumiza sana wananchi kupita kiasi
Chadema walituambia mama anaupiga mwingi, basi ngoja aupige.