Ukweli unao paswa kuujua kuhusu inverter

Ukweli unao paswa kuujua kuhusu inverter

Mkuu katika swala la matumizi ya nguvu ya umeme(wattage) hakuna chenye afadhari,yaani kila kitu utalipia kulingana na ,matumizi yako,Iwe AC au DC sababu zote mbili fomula ya kutambua wattage ni moja ambayo ni POWER= VOLTAGE X CURRENT.

Lakini kitaalamu kuna kitu kinaitwa Power factor ambayo ni uwiano wa nguvu inayotumika kuendesha mfumo na ile inayoenda kutumika,power factor katika kutumia umeme wa DC moja kwa moja huwa ni ndogo zaidi kuliko kuubadilisha umeme uende katika AC ndipo utumie.

Hivyo kwa kutumia umeme direct wa DC utakusaidia kusustain power yako kwa asilimia flani japo ni kidogo sana.

Hapo poa sana..... Vp kuunga battery 🔋 2 zitumike kwa pamoja kuna madhara? Na ni njia gan nzur msambamba au mfuatano? Maana nikiunga mfuatano volts zinakiwa more than 12.
 
Inverter nyingi za dukani tayari
huwa zimewekewa circuit ya
kulinda battery inverter za namna
hii huandikwa kabisa katika label
yake utakuta imeandikwa
efficiency 80% au 70% au 90% etc.



hapa ni kama umetudanganya mkuu wetu......unajua maana ya efficiency kweli?? who told you SLA battery hazipaswi vuka 30%?? kasome vizur uje
 
Inverter nyingi za dukani tayari
huwa zimewekewa circuit ya
kulinda battery inverter za namna
hii huandikwa kabisa katika label
yake utakuta imeandikwa
efficiency 80% au 70% au 90% etc.



hapa ni kama umetudanganya mkuu wetu......unajua maana ya efficiency kweli?? who told you SLA battery hazipaswi vuka 30%?? kasome vizur uje
Mzee unasuka inverter???
 
Kwa kweli Inverter nyingi zinakelele, Sometimes nashindwa kuchaji Simu yangu usiku maana nakosa usingiz kwa kelele za Inverter.
Wakuu naomba mniambie na kunionesha kwa picha DC za kuchajia Simu yenye Battery ya 6000Ah
Inverter gani nzuri sizizopiga makelele?
 
Back
Top Bottom