Ukweli unao paswa kuujua kuhusu inverter

Ukweli unao paswa kuujua kuhusu inverter

Kwa kuwa uko mbali tufuta namna ya kuwasiliana na sisi kwa huduma zetu, ila kama utatuamini unaweza ukatoa oder yako huko huko uliko na ikafanyika then ukatumiwa.

Tumesha fanya kazi na hata watu ambao hawajawahi kutuona wengine wapo humuhumu JF tena katika jukwaa letu.Hakuna aliyezulumiwa wala kucheleweshewa kazi yake!Dont worry WE ARE REALY!
 
Wa mikoani tunapataje huduma zenu?

Kwa kuwa uko mbali tufuta namna ya kuwasiliana na sisi kwa huduma zetu, ila kama utatuamini unaweza ukatoa oder yako huko huko uliko na ikafanyika then ukatumiwa.

Tumesha fanya kazi na hata watu ambao hawajawahi kutuona wengine wapo humuhumu JF tena katika jukwaa letu.Hakuna aliyezulumiwa wala kucheleweshewa kazi yake!Dont worry WE ARE REALY!
 
Mkuu nmefunga solar energy kama alternative energy hivi majuzi bt chalenges ni nyingi kuliko faida nilizofikiria.
 
According to the general formula it can provide 100 Ampere for 100 hours

Time=Battery capacity / Ampere required
Time=100AH/A1=100 Hours
But if you want to protect the battery from being over discharge,there now you can talk about efficiency!
Battery life inakuwa measured in terms of number of charge/discharge cycles. Sasa kama wewe utaidischarge to 100% at one cycle then ukaitupa... inakuwa haina maana ya kuwa na hiyo system. Itakuwa inakukosti kununua battery kila wakati. SO protection MUST BE THERE.... otherwise gharama za kukimbia protection ya battery, itaziingia kwa kununua batteris

 
mimi nlifikiri ni fundi kumbe baaado kabisa sijawa fundi. Hakika kwa elimu hii naona mimi nabahatisha.....mimi nina kainverter kangu nilikasuka sasa nikikwasha kanapiga sana kelele nikaachana nako nikasuka kengine sasa hakana kelele hata kidogo..na kanatoa volt 180 tu za ac.natumia battery ya mnara sina kitu kingine zidi ya taa za energy sever zipo tatu betry nakaa nayo siku ishirini.. Taa zangu zinawaka masaa manne tu kwa siku.. Kwa kweli mambo ya hayo mahesabu sjui hata kidogo laini nashuru hapa jf naendelea kujifunza..
 
good explanation.... kama uko kwenye hii industry i need help nna inverter yangu kubwa ya 2kva ni mbovu unaweza jua fundi proper???
 
Nimefurahi. Je nikikuhitaji unifanyie evaluation ya system yangu na kunipa ushauri unacharge bei gani?
 
mkuu Transistor naomba unielekeze jinsi ya ku replace batery...nimeinunua miezi mitatu iliyopita lakini sasa haina nguvu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi. Je nikikuhitaji unifanyie evaluation ya system yangu na kunipa ushauri unacharge bei gani?

Evaluation si-charge chochote mkuu,but you can donate i will appriciate!
 
mkuu Transistor naomba unielekeze jinsi ya ku replace batery...nimeinunua miezi mitatu iliyopita lakini sasa haina nguvu kabisa.

Sijaua una maanisha nini,Maana ku-replace battery simply unaondoa ile iliyo pungua nguvu na kuweka mpya?Kama sijakuelewa waweza kuuliza swali lako kiundani zaidi.
 
Kati ya matumizi ya DC na AC ni yapi yanatumia moto sana? Maana kuna vifaa vya kutumia DIRECTLY bila uhitaj wa inverter

Mkuu katika swala la matumizi ya nguvu ya umeme(wattage) hakuna chenye afadhari,yaani kila kitu utalipia kulingana na ,matumizi yako,Iwe AC au DC sababu zote mbili fomula ya kutambua wattage ni moja ambayo ni POWER= VOLTAGE X CURRENT.

Lakini kitaalamu kuna kitu kinaitwa Power factor ambayo ni uwiano wa nguvu inayotumika kuendesha mfumo na ile inayoenda kutumika,power factor katika kutumia umeme wa DC moja kwa moja huwa ni ndogo zaidi kuliko kuubadilisha umeme uende katika AC ndipo utumie.

Hivyo kwa kutumia umeme direct wa DC utakusaidia kusustain power yako kwa asilimia flani japo ni kidogo sana.
 
mimi nlifikiri ni fundi kumbe baaado kabisa sijawa fundi. Hakika kwa elimu hii naona mimi nabahatisha.....mimi nina kainverter kangu nilikasuka sasa nikikwasha kanapiga sana kelele nikaachana nako nikasuka kengine sasa hakana kelele hata kidogo..na kanatoa volt 180 tu za ac.natumia battery ya mnara sina kitu kingine zidi ya taa za energy sever zipo tatu betry nakaa nayo siku ishirini.. Taa zangu zinawaka masaa manne tu kwa siku.. Kwa kweli mambo ya hayo mahesabu sjui hata kidogo laini nashuru hapa jf naendelea kujifunza..

Usikate tamaa, kwanza hongera sana. Kumbuka kila kitu kina hatua. Sio kila mtu amefikia hata hiyo hatua uliyofikia wewe.
 
Transistor nimependa sana maelezo yako mkuu, mimi nna wazo la kufunga alternator pangaboi ili izunguke kwa upepo huko Singida, huo umeme utumike kucharge battery ambao utaingia kwenye inverter ili uingie kwenye matumizi.

Kwanza, hilo linawezekana? na kama linawezekana ntahitaji battery ngapi na inverter ya uwezo gani? Matumizi yangu ni taa 10 za energy server, TV 1, home theater ha kawaida, na fridge.

Shukran
 
Last edited by a moderator:
Transistor nimependa sana maelezo yako mkuu, mimi nna wazo la kufunga alternator pangaboi ili izunguke kwa upepo huko Singida, huo umeme utumike kucharge battery ambao utaingia kwenye inverter ili uingie kwenye matumizi.

Kwanza, hilo linawezekana? na kama linawezekana ntahitaji battery ngapi na inverter ya uwezo gani? Matumizi yangu ni taa 10 za energy server, TV 1, home theater ha kawaida, na fridge.

Shukran

hilo swala linawezekana,kinachozingatiwa hapo sana sana ni kiwango cha upepo na variation zake Ukubwa wa pangaboi,ukubwa wa dynamo pamoja na energy bank(battery).

MAHITAJI

Battery AH 400 na kuendelea

Dynamo ya 40 Ampere 12 voltage

Control charger ya 50 Ampere

Inverter ya 500 watt

Pangaboi lenye kuweza kuzungusha dynamo angalau kuzalisha kiasi cha 40AH kulingana na upepo uliopo.
 
hilo swala linawezekana,kinachozingatiwa hapo sana sana ni kiwango cha upepo na variation zake Ukubwa wa pangaboi,ukubwa wa dynamo pamoja na energy bank(battery).

MAHITAJI

Battery AH 400 na kuendelea

Dynamo ya 40 Ampere 12 voltage

Control charger ya 50 Ampere

Inverter ya 500 watt

Pangaboi lenye kuweza kuzungusha dynamo angalau kuzalisha kiasi cha 40AH kulingana na upepo uliopo.

Ubarikiwe sana mkuu, ntakutafuta kwa ajili ya kupanga mchakato wa kuufanikisha huu mpango!
 
Back
Top Bottom