Ukweli kama ule wa Lissu alimwambia Mwamba wa kanda ya ziwa na sasa anamwambia Ukweli Mwamba wa MigombaniUongo alimwambia Ukw eli, "Hebu tuoge pamoja, maji ya kisima ni mazuri sana.
Ukweli, akiwa bado na mashaka, alijaribu maji na kugundua kuwa ni mzuri. Basi wakavua wote nguo wakawa uchi na kuanza kuoga.
Lakini ghafla, muongo akaruka kutoka majini na kukimbia, akiwa amevaa nguo za Kweli.
Ukweli, kwa hasira, alitoka nje ya kisima na kumkimbiza uongo ili kuchukua nguo zake.
Lakini walimwengu, walipoona Ukweli ulio uchi, ulitazama pembeni, kwa hasira, dharau na aibu
Maskini Ukweli ulirudi kisimani na kutoweka milele, kuficha aibu yake.
Tangu wakati huo, Uongo unazunguka ulimwenguni kote, umevaa kama Ukweli, na jamii ina furaha sana..... kwa sababu ulimwengu hauna hamu ya kujua Ukweli ulio uchi.
Happy new year in advance.. The naked truth is gone forever😭View attachment 3188758
unakuta mtu ni pure puppet kabisa akiwa na sifa zote stahiki za upuppet, dhulumati wa kikoloni mamboleo, lakini eti ndio anaonekana malaika, na ana kumbatiwa na watetezi wa haki kabisa yaan, dah!Uongo alimwambia Ukw eli, "Hebu tuoge pamoja, maji ya kisima ni mazuri sana.
Ukweli, akiwa bado na mashaka, alijaribu maji na kugundua kuwa ni mzuri. Basi wakavua wote nguo wakawa uchi na kuanza kuoga.
Lakini ghafla, muongo akaruka kutoka majini na kukimbia, akiwa amevaa nguo za Kweli.
Ukweli, kwa hasira, alitoka nje ya kisima na kumkimbiza uongo ili kuchukua nguo zake.
Lakini walimwengu, walipoona Ukweli ulio uchi, ulitazama pembeni, kwa hasira, dharau na aibu
Maskini Ukweli ulirudi kisimani na kutoweka milele, kuficha aibu yake.
Tangu wakati huo, Uongo unazunguka ulimwenguni kote, umevaa kama Ukweli, na jamii ina furaha sana..... kwa sababu ulimwengu hauna hamu ya kujua Ukweli ulio uchi.
Happy new year in advance.. The naked truth is gone forever😭View attachment 3188758
Ungeandika tofauti na hiki ulichoandika ningekushangaa sanaunakuta mtu ni pure puppet kabisa akiwa na sifa zote stahiki za upuppet, dhulumati wa kikoloni mamboleo, lakini eti ndio anaonekana malaika, na ana kumbatiwa na watetezi wa haki kabisa yaan, dah!
ama kwa hakika uongo unazurura sana ulimwenguni na ndani ya walimwengu
The world at large.. They were born/brought for the special purpose! Siri za hii dunia ni nyingi na nyingine zinatisha sana.. Hawa ndio wanaiendesha dunia N they are big minds. Very big minds! Wanacheza na nambari na wako mbele ya wakatiNinawachukia sana Freemasons na secret society zao. Wametulea haya majanga yote ya kupindua, kuungaunga, kuhalalisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli.
Vita za aina zote, awe Napoleone au Hitler, Karl Max au Lenin na Stalin. Na hata Putin! wanacholeta mbona kinasabisha dhiki na majanga????
ukweli ni kitu cha maana sana, gentleman ,lakini naona kama umechagua upande wa uongo,Ungeandika tofauti na hiki ulichoandika ningekushangaa sana
Pamoja na kwamba uzi unahusiana na ukweli lakini Mimi ni muumini mkubwa wa uhalisia kuliko ukweliukweli ni kitu cha maana sana, gentleman ,lakini naona kama umechagua upande wa uongo,
kweli au si kweli gentleman?🐒