Source07
Senior Member
- Oct 5, 2018
- 196
- 352
Kwenu wanabodi!
Tangu Rais avunje mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mkataba mbovu ambao tungeishia kuona tunaliuza Taifa kwa wachina basipo kujua Lakin basi kuna ukweli ambao unafichwa,unafichwa kwa kile kinachoitwa Uzalendo wa Mh.Rais!
Hapana huu ukweli nilazima usemwe hatakama unauma,ukweli wenyewe mpaka tumefikia hatua yakuingia hiyo mikataba mibovu yote nikutokana na Serikali za CCM!
Kwanini mnaacha kusema kua Serikali za Ccm ndio zimefanya hayo yote Bali mnaishia kumpongeza Rais kwakitu ambacho wakati kinapitishwa alikua miongoni mwa wale waliokipitisha??.
Hapana nitusema waziwazi CCM inalihujumu Taifa!..Ningekua mstari wa mbele kumpongeza Rais kama hiyo mikataba iliingiwa na Serikali za Upinzani!..lakin la hasha ni CCM wenyewe kwann tuwapongeze?
Je, nimangapi yapo nyuma ya pazia tusioyajua yenye madudu kama haya?kwahili La Bandari bado mnaimani na ujenzi wa SGR?
Bado mnaimani na ujenzi Stiglers Gorge?Bado mnaimani na ununuzi wa Mandege tena kwa Cash? Bado mnaimani na ujenzi wa uwanja wa ndege kule Chato?
Yapo mengi yakutafakari kuliko kupongeza hili tatizo walio lisababisha wenyewe..!
Wakipaza Sauti wapinzani kuhoji utasikia wametumwa na MABEBERU,wakitokea watu kuhoji wanatekwa na kuambiwa sio watanzania au ndio kusema ni collective Responsibility kwamba wakti ni Waziri tena wa Ujenzi aliamua kukaa kimya nakulipitisha hili kwavile hakua na nguvu zaidi ya Bosi wake JK?
Hapana nimeshindwa kuelewa kabsa.
Nawasilisha Hoja!
Tangu Rais avunje mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mkataba mbovu ambao tungeishia kuona tunaliuza Taifa kwa wachina basipo kujua Lakin basi kuna ukweli ambao unafichwa,unafichwa kwa kile kinachoitwa Uzalendo wa Mh.Rais!
Hapana huu ukweli nilazima usemwe hatakama unauma,ukweli wenyewe mpaka tumefikia hatua yakuingia hiyo mikataba mibovu yote nikutokana na Serikali za CCM!
Kwanini mnaacha kusema kua Serikali za Ccm ndio zimefanya hayo yote Bali mnaishia kumpongeza Rais kwakitu ambacho wakati kinapitishwa alikua miongoni mwa wale waliokipitisha??.
Hapana nitusema waziwazi CCM inalihujumu Taifa!..Ningekua mstari wa mbele kumpongeza Rais kama hiyo mikataba iliingiwa na Serikali za Upinzani!..lakin la hasha ni CCM wenyewe kwann tuwapongeze?
Je, nimangapi yapo nyuma ya pazia tusioyajua yenye madudu kama haya?kwahili La Bandari bado mnaimani na ujenzi wa SGR?
Bado mnaimani na ujenzi Stiglers Gorge?Bado mnaimani na ununuzi wa Mandege tena kwa Cash? Bado mnaimani na ujenzi wa uwanja wa ndege kule Chato?
Yapo mengi yakutafakari kuliko kupongeza hili tatizo walio lisababisha wenyewe..!
Wakipaza Sauti wapinzani kuhoji utasikia wametumwa na MABEBERU,wakitokea watu kuhoji wanatekwa na kuambiwa sio watanzania au ndio kusema ni collective Responsibility kwamba wakti ni Waziri tena wa Ujenzi aliamua kukaa kimya nakulipitisha hili kwavile hakua na nguvu zaidi ya Bosi wake JK?
Hapana nimeshindwa kuelewa kabsa.
Nawasilisha Hoja!