SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Tundu Lissu anatosha, huyo Membe ni wa CCM na tunampiga saa nne asubuhi.Hata kipindi cha lowasa mlisema hivyo, lakini baada ya gia ya angani mkabadilika na kukana matamshi yenu.
Tumewazoea.