Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Yaani kwa sababu akili zako zimeganda hapo wwfikiri kila mtu anawaza kama wewe
View attachment 1990212
Kwa Hakika Huyu Mtu sasa imedhihirika kwamba Umaarufu wake ni Mkubwa kuliko tulivyodhani , na naweza kuthibitisha sasa kwamba Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema na Mfungwa wa kisiasa ndiye MTU MAARUFU KUPITA WOTE WALIO HAI NCHINI TANZANIA KWA SASA .
Hii ni kwa sababu hakuna taarifa yoyote sasa , iwe kutoka kwa waziri , Waziri Mkuu au Rais inayotiliwa maanani na wananchi kuzidi kesi ya uongo ya Ugaidi , maana ya jambo hili ni kwamba hakuna kiongozi yeyote katika niliowataja anayeaminiwa na wananchi kuzidi Freeman Mbowe , ukitaka kujua zaidi hebu angalia mambo mazuri kama Wachezaji wa Twiga Stars kupewa viwanja , habari hii nzuri imepuuzwa kabisa na watanzania kwa vile wote wanaangalia Mahakamani kwenye kesi ya Ustaadh Aboubakar Mbowe , nimeshangaa sana !
Hili kwetu ni funzo kubwa sana .