Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,573
- 14,175
Mkuu natofautiana na weweKuna vitu viwili, 'ukweli' na 'uhalisia'.
Ukweli ni kile ambacho mtu anaamini/ amaaminishwa. Kwa mfano ukimwambia muislamu au mkristu dininipi ni ya kweli Kila mtu atataja dini yake (kwa sababu anaamini au ameaminishwa).
Uhalisia ni jinsi kitu kilivyo hata kama kikisemwa au kuchuliwa vinginevyo.
Watu wengi kwenye huu uzi wanachanganya sana UKWELI na IMANI
Ukweli hauwezi kuwa ni IMANI
Imani ni Imani tu
Ukweli ni uhalisia wa jinsi kitu/jambo lilivyo………. Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo mmoja
Imani ni kukubali jambo bila kujua ukweli wake………… mtu anakubali tu Jua au Yesu au Ngo’mbe ni Mungu na haujui UKWELI ila ameamua KUAMINI
Imani na Ukweli ni vitu viwili tofauti…….. HAIWEZEKANI ikawa ni KWELI Mbuzi, Yesu, Ngo’mbe, Radi, Jua, Mwezi nk nk vyote ni KWELI
Sifa kuu ya UKWELI ni kwamba Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo moja