Ukweli ni kitu gani?

Ukweli ni kitu gani?

Kuna vitu viwili, 'ukweli' na 'uhalisia'.

Ukweli ni kile ambacho mtu anaamini/ amaaminishwa. Kwa mfano ukimwambia muislamu au mkristu dininipi ni ya kweli Kila mtu atataja dini yake (kwa sababu anaamini au ameaminishwa).

Uhalisia ni jinsi kitu kilivyo hata kama kikisemwa au kuchuliwa vinginevyo.
Mkuu natofautiana na wewe

Watu wengi kwenye huu uzi wanachanganya sana UKWELI na IMANI

Ukweli hauwezi kuwa ni IMANI
Imani ni Imani tu

Ukweli ni uhalisia wa jinsi kitu/jambo lilivyo………. Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo mmoja

Imani ni kukubali jambo bila kujua ukweli wake………… mtu anakubali tu Jua au Yesu au Ngo’mbe ni Mungu na haujui UKWELI ila ameamua KUAMINI

Imani na Ukweli ni vitu viwili tofauti…….. HAIWEZEKANI ikawa ni KWELI Mbuzi, Yesu, Ngo’mbe, Radi, Jua, Mwezi nk nk vyote ni KWELI

Sifa kuu ya UKWELI ni kwamba Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo moja
 
Mkuu natofautiana na wewe

Watu wengi kwenye huu uzi wanachanganya sana UKWELI na IMANI

Ukweli hauwezi kuwa ni IMANI
Imani ni Imani tu

Ukweli ni uhalisia wa jinsi kitu/jambo lilivyo………. Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo mmoja

Imani ni kukubali jambo bila kujua ukweli wake………… mtu anakubali tu Jua au Yesu au Ngo’mbe ni Mungu na haujui UKWELI ila ameamua KUAMINI

Imani na Ukweli ni vitu viwili tofauti…….. HAIWEZEKANI ikawa ni KWELI Mbuzi, Yesu, Ngo’mbe, Radi, Jua, Mwezi nk nk vyote ni KWELI

Sifa kuu ya UKWELI ni kwamba Ukweli huwa ni mmoja tu kwa jambo moja
Kama ukweli ni uhalisia wa jinsi kitu au jambo lilivyo basi hoja yako inamashiko.
 
Ukweli hauwi kweli kwa sababu watu wengi wanaamini, unakuwa kweli kwa sababu unaendana na uhalisia.
 
Back
Top Bottom