Habari zenu wanaJF. Eti ni ukweli gani mgumu(hardest truth) ambao ushawahi kuambiwa either kwenye mahusiano, eneo la kazi, shule, mtaani n.k.? I mean jambo ambalo uliambiwa likawa gumu kulipokea au hata kulisahau pia, lakini mwisho wa siku ilibidi ukubaliane nalo kwa sababu ndo ukweli wenyewe.
Asanteni.