Ndugu naomba nikusadie kitu kimoja kama ni mkristo lakini, KUSUDI KUU la ndoa haikuwa watoto BALI ni kuondoa UPWEKE uliokuwepo kwa Adamu baada ya kuumbwa na Mungu. Kupata watoto,kusaidiana,tendo la ndoa na mengineyo no makusudio madogomadogo ya ndoa,lakini kusudio KUU kabisa ni kuondoa UPWEKE! Rejea Mwnzo 2:18.