Nenda shule upya ukajifunze maana ya "NDOA" ... naona uliondoka kabla darasa halijakamilika. Hope hujaoa/kuolewa, ukioa/olewa mahari ikatolewa ukavalisha/wa pete, ukaenda kanisani/msikitini ndo utajua kama unaoa kwa ajili ya watoto ama kwa ajili yako mwenyewe ... watoto ni zawadi ya ndoa kutoka kwa MUNGU as well as temporary assignment for your marriage, Ndoa ya zote ni muunganiko wa hiyari wa watu wawili na MUNGU wao, watoto wenyewe watakuona chizi kama unawapenda sana wao kuliko Mama/Baba yao.
Tafuta amani na mwenza wako, mpende Mume/Mke wako unconditionally, pendaneni unconditionally halafu utaona jinsi maisha yalivyo matamu hata kama hamna hao watoto unaowazungumzia.
NB:Nina ndoa bila mtoto, muda ukifika watakuja but kwa sasa nafikiri bado tunahitaji kuwa wawili kwanza.
(Ni mtazamo binafsi)