Ukweli mchungu: Ndoa bila watoto sio ndoa

unataka kuhalalisha uzinzi.. na je ukazaa wakawa wanakufa hapo unasemaje? na kunasababu zinzsababisha watoto kuzaliwa na kufa kisayansi kabisa madokta watasema hili.. je hapo unasemaje?

Ukizaa akifa feeling yake ni tofauti na 0 kabisa mkuu...

It is still debatable!
 
Inatokea sana lakini pia huleta faraja kwa wengine. Baada ya kuachana, mwanamke anapata mtoto mbele ya safari na mwanaume anazaa na mwanamke mwingine - sijui hilo linaelezewa vipi?

Ni nadra sana other wise kulikuwa na "ushirikina" ndani yake wa kumfunga mmoja asizae hasa mwanamke, Nakumbuka kijijini kwetu kuna dada aliambiwa na shangazi yake wewe hutakuja kuzaa wewe..na kweli yule dada kila aliko olewa hakubahatika kupata mtoto mpaka anafariki.
 
Afadhali hapo mwisho ume-declare interest kwamba umeoa na una watoto. Sijui mwanaume ambaye ameoa na hawajabatika kupata mtoto/watoto atasema nini.

Tukumbuke issue ya ndoa katika mila na desturi zetu za kiafrika ni zaidi ya mume na mke. Pressure ya kutokuwa na mtoto mara nyingi inatoka kwa ndugu, hasa wa mwanaume! Ndipo lile tusi maarufu huja - mwanamke gani anajaza choo tu. Kibaya zaidi, ndugu wa kike wa mwanaume (mama, dada, shangazi) ndio washika bango wakubwa.

Mwishoni shinikizo la ndugu humkumba mwanaume asiye na msimamo.

Mkuu nawafahamu wengi tu ambao hawajabahatika kupata watoto. Uko sahihi kabisa kwamba ndoa pia ni social contract zaidi ya mke na mume kuna ndugu na jamii kwa ujumla ambao interest zao ni zaidi ya nyie wanandoa..wanataka watoto kuendeleza ukoo and the like...but jamii hiyo hiyo ina namna ya kudeal na watu wa namna hiyo kama kuwapa watoto wa ndugu walee nk...hizi kauli za kwmba mwanamke asiyezaa anajaza choo ni ukosefu wa adabu na sidhani kama unawakilisha virtues za jamii husika...ni transgression tu za mawifi
 
sasa kama unajua kuzaa mpaka ndoa kwa nini unakubali kijinga kubeba mimba.alafu unakwenda kuitoa uoni unakua na dhambi ya kuukwa kukusudia.tena inatia kinyaa sana wadada mnavyoshuriana mwanume akikuzingua toa mimba yake.hahaaaaaahhaaa hapo hapo unajifanya unamjua mungu.guest sana bia kwa wingi.me sipati picha siku ya mwisho ushatoa mimba tano au zaidi.ata ufanye ibada ipi ushaangamia
 
Watoto ni mungu anayepanga..mimi na mama gaude wangu miaka 9 ndoa ndoano hakuna wAtoto wala nini na mahaba moto moto mwanzo kati mwisho..kwanza mitoto inasumbua tu kuja kuanza kuvunja simu zangu buree.aaagh
 
Kweli kabisa watoto ni baraka toka kwa Mungu, lkn ukweli ndani ya ndoa mkikosa mtoto hata wanandoa wenyewe mtakosa amani fulani ya moyo. Hasa pale mnapoona familia rafiki wanacheza na kufurahi na watoto wao.
 
Duh! ukweli huu ni mchungu sana. Nina dada yangu kaolewa na mume kwa miaka kadhaa hawajapata mtoto walipoanza kwenda hospitali kupima kote walikotembea imeonekana mwanaume hana uwezo wa kupata mtoto kabisaaa! Sasa dada yetu ambaki njia panda! Na sisi hatuna cha kumshauri tumewaachia wenyewe!
 
Watoto ni mungu anayepanga..mimi na mama gaude wangu miaka 9 ndoa ndoano hakuna wAtoto wala nini na mahaba moto moto mwanzo kati mwisho..kwanza mitoto inasumbua tu kuja kuanza kuvunja simu zangu buree.aaagh

Hahahaha kwa hiyo unarudi nyumbani unakuta sebule ni kimya hakuna hata kelele....watoto wanafariji bwana.
Miaka tisa hamna watoto na ni wazima kabisa basi wewe hujui kulenga.
 
Nenda shule upya ukajifunze maana ya "NDOA" ... naona uliondoka kabla darasa halijakamilika. Hope hujaoa/kuolewa, ukioa/olewa mahari ikatolewa ukavalisha/wa pete, ukaenda kanisani/msikitini ndo utajua kama unaoa kwa ajili ya watoto ama kwa ajili yako mwenyewe ... watoto ni zawadi ya ndoa kutoka kwa MUNGU as well as temporary assignment for your marriage, Ndoa ya zote ni muunganiko wa hiyari wa watu wawili na MUNGU wao, watoto wenyewe watakuona chizi kama unawapenda sana wao kuliko Mama/Baba yao.

Tafuta amani na mwenza wako, mpende Mume/Mke wako unconditionally, pendaneni unconditionally halafu utaona jinsi maisha yalivyo matamu hata kama hamna hao watoto unaowazungumzia.

NB:Nina ndoa bila mtoto, muda ukifika watakuja but kwa sasa nafikiri bado tunahitaji kuwa wawili kwanza.

(Ni mtazamo binafsi)

the bold black - ni the best meseji kwa wore.......
ila kuna kitu kimoja kiletacho mgogoro, wote mko safi, na wewe mwanaume wala huna presha coz unaamini watakuja kwa wakati muafaka, upande wa pili wife anakuwa anaona kama wala huna habari kabisa, na anakuwa hakuelewi.. kumbuka wote mmefanya vipimo kwa pamoja na matokeo mmeyapokea wote.....
 
ni ujinga kumsifia mkeo anakatika miuno sumu halafu hazai

work done ni ziro
 
Nenda shule upya ukajifunze maana ya "NDOA" ... naona uliondoka kabla darasa halijakamilika. Hope hujaoa/kuolewa, ukioa/olewa mahari ikatolewa ukavalisha/wa pete, ukaenda kanisani/msikitini ndo utajua kama unaoa kwa ajili ya watoto ama kwa ajili yako mwenyewe ... watoto ni zawadi ya ndoa kutoka kwa MUNGU as well as temporary assignment for your marriage, Ndoa ya zote ni muunganiko wa hiyari wa watu wawili na MUNGU wao, watoto wenyewe watakuona chizi kama unawapenda sana wao kuliko Mama/Baba yao.

Tafuta amani na mwenza wako, mpende Mume/Mke wako unconditionally, pendaneni unconditionally halafu utaona jinsi maisha yalivyo matamu hata kama hamna hao watoto unaowazungumzia.

NB:Nina ndoa bila mtoto, muda ukifika watakuja but kwa sasa nafikiri bado tunahitaji kuwa wawili kwanza.

(Ni mtazamo binafsi)

Ndio ndio maana umeshasema ni mtazamo wako.
 
Afadhali hapo mwisho ume-declare interest kwamba umeoa na una watoto. Sijui mwanaume ambaye ameoa na hawajabatika kupata mtoto/watoto atasema nini.

Tukumbuke issue ya ndoa katika mila na desturi zetu za kiafrika ni zaidi ya mume na mke. Pressure ya kutokuwa na mtoto mara nyingi inatoka kwa ndugu, hasa wa mwanaume! Ndipo lile tusi maarufu huja - mwanamke gani anajaza choo tu. Kibaya zaidi, ndugu wa kike wa mwanaume (mama, dada, shangazi) ndio washika bango wakub

Mwishoni shinikizo la ndugu humkumba mwanaume asiye na msimamo.

Wanawake wanaojaliwa kuzaa wao huwa hawanyi!
 
Wanawake wanaojaliwa kuzaa wao huwa hawanyi!

Jibu wanalo wanaosema asiyezaa anajaza choo. Labda mantiki ni kwamba anaezaa japo pia anajaza choo kama binadamu mwingine yeyote lakini at least matunda yake yanaonekana!. Najibu pia swali ambalo hujauliza lakini laja - kutopata mtoto si lazima sabanu iwe ni mwanamke. Hata mwanaume anaweza kuwa chanzo. Hilo halina mjadala ni ukweli wa kisayansi
 
Back
Top Bottom