Ukweli mchungu: Magufuli atashinda tena 2020

Ukweli mchungu: Magufuli atashinda tena 2020

Hahaha yani Evarist Chahali hata usingeandika huu uzi, hilo linafahamika rais kwa ticket ya ccm ni miaka 10 na ccm mwenyekiti taifa ni miaka 10.
Huwa sielewi nyuzi zako huwa zina ujumbe gani.
Juzi ulituambia eti adui wa upinzani ni ccm, kisha ukatuambia zitto kabwe ni pandikizo huko upinzani, unavyokwenda iko siku utatuambia sumu ya panya inaua na binadamu.
Kwani Sumu ya Panya haiui binadamu eeh


Aiseee
 
Back
Top Bottom