Cha msingi ni pointi umeelewaAmekosea mbona izo bidhaa ni za marekani sio ulaya
.Jisomee mwenyewe View attachment 1672375
Maneno yake ya mwisho yanasadifu ubaya wao kwetu sisi Waafrika.HUU NI UKWELI MCHUNGU ILA NAMUOMBA ASIJE TANZANIA HUYU WASIOJULIKANA WATAFANYA YAO
Kinachouma zaidi ni haya maneno YOU ARE NOT THAT IMPORTANT AND YOU ARE NOT A THREAT.
Sio kweli, US anasema China na Russia ni threat kwa uchumi na usalama wake, nawao wanamtuhum US hivyo hivyo.Maneno yake ya mwisho yanasadifu ubaya wao kwetu sisi Waafrika.