Quinn
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 473
- 1,180
Tatizo watu tunaingiza siasa kwenye taaluma.
Tatizo kubwa kwenye Tathimini za mazingira (Environmental Impact Assessment) zime base kwenye European Standards ambazo ni ngumu kwa nchi za kiafrika kuendana nazo.
Ikiwa Nchi za Africa zinataka kupiga hatua ni ngumu kufanya mifumo yake ifanane na ile ya ulaya kwa mara moja lazima ianzie chini na baadae ndo vitawezakana.
Tathmini ya mazingira (EIA) iliyofanywa kwenye mradi wa umeme wa stiglers gorge haukuzuia mradi kufanyika badala yake walitowa njia za kupunguza( minimize) au kuondoa ( mitigation measures) za madhara ya kimazingira ila njia zenyewe mbadala za kukabiliana nazo walitoa kama zile za nchi za ulaya ambao ikaonekana mradi utakuwa wa gharama kubwa zaidi kuliko budget iliyokuwepo.
Hakuna mradi wenye athari kubwa za kimazingira duniani kama mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia vinu vya nyuklia lakini ndo nchi zote zilizoendelea duniani utumia,hii ni kwakuwa zinaweza kugharamia njia za kupunguza na kutoa athari za kimazingira.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo kubwa kwenye Tathimini za mazingira (Environmental Impact Assessment) zime base kwenye European Standards ambazo ni ngumu kwa nchi za kiafrika kuendana nazo.
Ikiwa Nchi za Africa zinataka kupiga hatua ni ngumu kufanya mifumo yake ifanane na ile ya ulaya kwa mara moja lazima ianzie chini na baadae ndo vitawezakana.
Tathmini ya mazingira (EIA) iliyofanywa kwenye mradi wa umeme wa stiglers gorge haukuzuia mradi kufanyika badala yake walitowa njia za kupunguza( minimize) au kuondoa ( mitigation measures) za madhara ya kimazingira ila njia zenyewe mbadala za kukabiliana nazo walitoa kama zile za nchi za ulaya ambao ikaonekana mradi utakuwa wa gharama kubwa zaidi kuliko budget iliyokuwepo.
Hakuna mradi wenye athari kubwa za kimazingira duniani kama mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia vinu vya nyuklia lakini ndo nchi zote zilizoendelea duniani utumia,hii ni kwakuwa zinaweza kugharamia njia za kupunguza na kutoa athari za kimazingira.
Sent from my iPhone using JamiiForums