Ukweli mchungu: CHADEMA iko ICU

Ndiyo maana nasema hoja yao ya katiba mpya wananchi wanaipuuza. Wao wenyewe hawaheshimu demokrasia hata uhuru wa mahakama.

Ukimsikia Mnyika leo unaona kabisa ama uelewa wake ni mdogo sana au kutapataka kwa kiumbe kabla ya kukata roho .
 
Chadema iko ICU sasa maccm woga wanaogopa nini kuwepo kwa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki? Maccm wanahofia chama kinachopumulia kwenye mashine!? 😜😜😜

 
Kitendo cha Mbowe kuamua kuacha siasa za jukwaani na kuanza ugaidi ni ishara ya wazi kuwa ushawishi wa chama umekwisha. Chama sasa kinataka kuchoma filling stations na nyumba za watu.!!!
 
Ukisikia "kufa na tai shingoni" ndio huku. Yaani unakufa na watu wanaona lakini bado unabisha kwamba haufi. Makamanda uchwara wana ubishi wa kipuuzi.
 
Gaidi haongei hivi wewe!!! Acha UZUSHI!!!


Kitendo cha Mbowe kuamua kuacha siasa za jukwaani na kuanza ugaidi ni ishara ya wazi kuwa ushawishi wa chama umekwisha. Chama sasa kinataka kuchoma filling stations na nyumba za watu.!!!
 
Chadema iko ICU sasa maccm woga wanaogopa nini kuwepo kwa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki? Maccm wanahofia chama kinachopumulia kwenye mashine!? 😜😜😜
Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
Gaidi haongei hivi wewe!!! Acha UZUSHI!!!

 
Wajinga walitumia/wanatumia fedha kuiua wameshindwa
Huwezi kushindana na Mungu!
Na so.mmeanza Tena !!? Mungu atawaonesha siku so nyingi
 
Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
Wakati huo. Nasisi tunajiuliza kwa nini ameamua kuwa gaidi, tena ushahidi utaanikwa wazi. Tusubiri kesi ipangiwe jaji.
 

Mkuu ungeanza kwa kuuliza ndani ya Chadema kuna huo uchaguzi huru wa Mwenyekiti? Charity begins at home
 
Wajinga walitumia/wanatumia fedha kuiua wameshindwa
Huwezi kushindana na Mungu!
Na so.mmeanza Tena !!? Mungu atawaonesha siku so nyingi
Tayari mkuu, ameshatuonesha gaidi ni nani
 

Utter Non Sense.
 
Mkuu recall historia ya nchi yetu, vya vya NCCR MAGEUZI enzi za Mrema leo vikoje . KANU nchini Kenya ilikuwa kila mahali, leo iko wapi. ZAPU nchini Zambia, leo iko wapi. Ni vyingi vimekufa.
Bwashee walichofanikiwa Chadema ni kuwafikia vijana wenye akili na kuwajenga kisiasa na ndio hao wanachukuliwa na CCM na kupewa vyeo.

Usije ukaamini hata siku moja kwamba Silinde au Lijualikali wanaipenda CCM.
 
Mavi Ni hatari
 
Haya uliyoongea ni matamanio ya kila mwanaccm, ila kwa bahati mbaya kizazi hiki sio cha ccm. Hapo mlipo ccm mtaendelea kutumia vyombo vya dola kuzuia Cdm kufanya siasa, ila ukweli uko wazi kuwa mmegota. Hiyo mbinu ya kuhujumu vyama vya upinzani ilifanikiwa huko nyuma, ila hiki ni kizazi kingine kabisa. Hiyo kazi ya kuanzisha chama kingine tumewaachia ccm na Tiss maana ndio mnaendekeza siasa outdated
 
Wazazi tuna hasara! Sasa na wewe Wànasema tuna mtoto!
 
Bwashee walichofanikiwa Chadema ni kuwafikia vijana wenye akili na kuwajenga kisiasa na ndio hao wanachukuliwa na CCM na kupewa vyeo.

Usije ukaamini hata siku moja kwamba Silinde au Lijualikali wanaipenda CCM.
Siasa ni mwelekeo wa upepo Bwashee. Hakuna mwanasiasa anayependa chama chochote. Ndiyo maana unawaona wanakwenda huku na kurudi kule. Ni mwelekeo wa upepo wa wakati huo
 
Wazazi tuna hasara! Sasa na wewe Wànasema tuna mtoto!
What you see is not what others see. Every person has a different view of another person's image. That's all perception.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…