Ukweli kuhusu Zombie, Vampires, wolves

Ukweli kuhusu Zombie, Vampires, wolves

Dracula au "the son of devil" aliishi huko Transvaal, Romania 15century!! kwa more info google "The legend of Dracula"
 
Prove huo uongo kwa facts

Sasa sikiliza hiyo Castle ambayo imejengwa huko Transylvania ni fake na lengo lake ni kuvutia watalii wengi kutembelea mahali hapo...

The Vlad Dracula was a historical figure who had nothing to do with myth, and that it was a merely a product of the wild imaginings of one Irishman(Bram stoker)
 
Dracula au "the son of devil" aliishi huko Transvaal, Romania 15century!! kwa more info google "The legend of Dracula"

Huyo "devil" ni nani..?
Ndo alimzaa huyo Vlad Dracula..? Mama yake Vlad Dracula ni nani..?

Fafanua....Mimi nimesema hakuna kitu Vlad Dracula wala nini..? HIzo no Illusion kama zilivyo za vibwengo..Ila wenzetu wakatumia akili za kudanganyika za kichawi chawi waka make money kwa kuongeza utalii huko Transylvania....Hiyo Castle imetengenezwa kuwaada watu..
 
Huyo "devil" ni nani..?
Ndo alimzaa huyo Vlad Dracula..? Mama yake Vlad Dracula ni nani..?

Fafanua....Mimi nimesema hakuna kitu Vlad Dracula wala nini..? HIzo no Illusion kama zilivyo za vibwengo..Ila wenzetu wakatumia akili za kudanganyika za kichawi chawi waka make money kwa kuongeza utalii huko Transylvania....Hiyo Castle imetengenezwa kuwaada watu..

nashangaa sana watu wanaoiamini google waliotunga huo uongo ndio hao hao wanaouandika sasa ni akili ku mkichwa kama unabeba utabeba kila kitu hadi upuuzi
 
Nijuavyo Mimi:

Mwenyezi Mungu Kaumba Vingi...

"Vinaonekana Na Visivyoonekana"
Tuanzie Hiyo Sentensi Kwamba Tukiangalie Kwa Vile Vinavyoonekana....

1: Vinavyoonekana

Kwa MA group Tutasema Wanyama,Mimea,Watu,Wadudu,Ndege N.k

2: Visivyoonekana:

Havionekani Mpaka Pale Mtu Apitie Njia Mbadala Kama Adubini,n.k

Katika Hivi Visivyoonekana Sasa:
Malaika,majini/mapepo/mashetani/maibilisi/,Izrael,bacteria n.k

Chukua Hiyo Mifano Miwili Ya Hawa Viumbe Tunaowaskia Kwa Ukaribu Lakini Hatuwaoni.... Malaika & Majini

Inasadikika Na Kuaminika Kwamba Malaika Wana Mabawa But In Real No One Ever Seen Them.. Mpaka Anaebahatika...

Turudi Kwa Djinns Hawa Nao Waasikika Hawana Maumbo Maalumu.. Kwamba Kuna Shape shifters n.k huko sio wote mnaamini hivyo lakini ndio ukweli ulivyo....


Sasa Turudi Kwa Huyu Binaadamu Yeeye Kaumbwa Na Kupewa Mamlaka Yote na mungu. Kapandikiziwa kitu kikubwa ambacho hakijui na hakitumii vema ilivyopaswa.... Kile chenye Nguvu Kabisa Katika Mwili Wa Binaadamu Ni Brain/Ubongo huu angeutumia vizuri binadamu basi angejua kweli ya mambo mengi...

Ikiwa Binadamu Anauwezo Wa Kucreate Viruses.. Na Kumgeuza Mwenzie Half Living Half dead(msukule)... Na kutengeneza gari yote haya kwa kutumia ubongo wake kufikiria na kikawa....

Je,baada ya kumfikiria vamp,wolf, zombie hawezi kumtengeneza live baada ya kumuweka akilini????

"Try To Awakening Your Brain"


#Rakims
 
Possibly true, lakini hayo mambo sio yakuyafanyia deep research au investigation!! unaweza ukawa Beliver wa mambo ya kishetani alafu ikakupa shida kumuamini Mungu!....Discoveries are so dangerous and powerful...DON'T TRY THAT KIND OF RESEARCH,IT IS NOT HELPFUL ATALL.
 
Dracula au "the son of devil" aliishi huko Transvaal, Romania 15century!! kwa more info google "The legend of Dracula"

Hizo ni hadith za dhahania tu. kama zilivyo the legends of Herculesm na zile za miungu wa ugiriki
 
Hizo ni hadith za dhahania tu. kama zilivyo the legends of Herculesm na zile za miungu wa ugiriki
Lisemwalo lipo ndugu,,,

Hata biblia na Quran ni hadith pia, wewe na Mimi hatukuwepo sio?!
 
Back
Top Bottom