Ukweli kuhusu wimbo huu wa hoyce temu...

Ukweli kuhusu wimbo huu wa hoyce temu...

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,696
Siku chache tangu Mwanadada Hoyce Temu anyakue taji la Miss Tanzania, mwaka 1999, Emmanuel Nkulila alitoa wimbo wa Tanzania Nzima Hakuna Mrembo kama Wewe. Stori zilizo zagaa mitaani kipindi hicho zilikuwa Nkulila na Hoyce were an item and the song was a special dedication to her as Hoyce and not as Miss Tanzania . Na nyie mlisikia kama nilivyo sikia mimi ? The song was so so nice!

Usikilize hapa : http://www.youtube.com/watch?v=5Q_YQTGjUSo
 
Hoyce nampenda as demu vile anavyojali watu lakini hana mvuto na ule mkorogo ndo kajichafua kabisaaaaaaa. However, I will eat with her meza moja.
 
Sijamuona Hoyce mbona, zaidi namuona Richa ndio katawala.
 
Back
Top Bottom