Ukweli kuhusu wanawake wa kibongo

Ukweli kuhusu wanawake wa kibongo

Kiukweli jaman pesa ndo kila kitu huwez kula bila ya pesa kuvaa,kulala hata kwenda chooni bila ya pesa hakuwezekani
kwenda chooni bila pesa kuna uzi niliuona humu unamaanisha 0714 duh!!
 
Mapenzi wayaweza pata bila pesa ila ngono ndio inabidi uingie mfukoni
 
Kweli mwanamke jobless mfano unataka tu kupiga kateroro yako usimpe hela kweli hiyo haipo mwanamke kupewa hela iyo muhimu sana hasa hasa ukiwa mjini kuna nauli kuna nguo vitu kibao. Tu so we umwambie hunapesa yeye unataka aku eleweje bora umwache tu no money no service.
So usione tabu we men kutoa pesa. Kwa mwanamke wengine ukiwapa hela nyota hufunguka ahse.
Mnao penda vya bure waleni madada zenu au mahausigirl.
Uwi uwi kaabang.
 
Hata muandikeje humu pesa mtatoa tu kwa mwanamke! Kama si wewe basi yule, au huyu!

Wanatoa waporipori; town ni full gospel + beer; dem akishazoea kampany ya kila jioni baada ya kazi hachelewi toshusha ako kanguo ka kwanza kuvaliwa.
 
Wanatoa waporipori; town ni full gospel + beer; dem akishazoea kampany ya kila jioni baada ya kazi hachelewi toshusha ako kanguo ka kwanza kuvaliwa.


hahahaaaaaaaa haya bwana!!! genye mbaya!!!
 
Tena ukiwa na pesa unaitwa mzee hata kama una miaka 20 na zikiisha utaitwa jina jengine
 
ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-sauzi mwambie una ukimwi,
ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-marekani mwambie una cancer,
ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-china mwambie una sars,
na ukitaka kumtisha mwanamke wa ki-bongo mwambie huna hela.
Ni kweli?

ahahaha...huko juu koote nimecheka ila hapo mwisho kwenye mwanamke wa kibongo mie nilijuwa umwambie "una govi"...mie wananikimbia sana kisa nimegoma kudondosha mkono-sweta.
 
Sio wote, Mi wangu hajali. Huwa napigika kishenzi lakini yumo. Tena akijua sina hela ananitafuta kila nusu saa kwa sababu anajua nampotezeaga kwa muda. Si unajua inferiority complex tena. Ananitafuta na ananitoa kimtindo.
 
Back
Top Bottom