Ukweli kuhusu uwepo wa vampire

Ukweli kuhusu uwepo wa vampire

nandembako

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
655
Reaction score
528
Habari zenu wakuu!
Nimekuwa interested kujua kama kweli vampire walikuwepo kama ninavyoona kwenye movies,na kama walikuwepo hawa wanaonekana kufanana na binadamu,..je ni nini kilitokea wakawa hivyooo(kisayansi uumbaji)!??

Pia kama mpenda movie za series unaeza kuwa unaifahamu movie ya supernatural humo ndani kuna SAM NA DEAN wanapambana na supernatural things,swali jingine kuna uwezekano hiyo series ikawa inaelezea uhalisia!?
 
Habari zenu wakuu!
Nimekuwa interested kujua kama kweli vampire walikuwepo kama ninavyoona kwenye movies,na kama walikuwepo hawa wanaonekana kufanana na binadamu,..je ni nini kilitokea wakawa hivyooo(kisayansi uumbaji)!??

Pia kama mpenda movie za series unaeza kuwa unaifahamu movie ya supernatural humo ndani kuna SAM NA DEAN wanapambana na supernatural things,swali jingine kuna uwezekano hiyo series ikawa inaelezea uhalisia!?
Uwepo au kutokuwepo kwa vampires ni suala la imani ya mtu... Ila kama unavyojua wenzetu wazungu nao wamepitia katika stages za maisha ambazo karibia jamii zote zinapitia including the so called "dark era" so kuna wakati walikuwa na imani juu ya uwepo wachawi pamoja na vampires... Kwa upande wa vampires wao waliamini kuwa ni reincarnation ya watu ambao they once existed in real life au walitokana na watu waliokufa having grudges with others so walirudi kulipa visasi na their modus operand ilikuwa ni kumg'ata mtu shingo na kunyonya damu
 
Another thing Bw. Imma ni kuwa movies are products of authors' imaginations, baasi
 
Another thing Bw. Imma ni kuwa movies are products of authors' imaginations, baasi
Atleast u said...
Unajua mara nyingi huwa naona movies asilimia kubwa nilizoziona huwa zinareflect mambo fulani yaliyopita....i hve been thinking about it for a long time...
 
Hivi Vampire kwa lugha nyingine si ndo blood sucker!!?? Bas km n hivyo hata manyaunyau atakua anahusika hapa
 
Hivi hizo story za vampires zipo sehemu nyengine tofauti na kwenye movies tu?
 
Another thing Bw. Imma ni kuwa movies are products of authors' imaginations, baasi
Kuna vitu kwenye muvi vilitabiriwa toka miaka ya 90 huko ila leo vipo na vinavitumika kwahyo haibakii tu kuwa imaginations..nnavyojua wazungu hawashindwi kufanya maajabu hayo
 
Vampire ni sawa tu na mambo kamavile UFO, Aliens and et.al! Ni uzushi ambao ulichagizwa sana na watafuta pesa wa Hollywood.
 
Vampire ni sawa tu na mambo kamavile UFO, Aliens and et.al! Ni uzushi ambao ulichagizwa sana na watafuta pesa wa Hollywood.
Story za vampires ni za kitambo kabla ya sinema.... Na huwezi kuwalaumu Hollywood.... Hawajawahi kuclaim kuwa matukio kwenye movie ni ya kweli... Ndio maana wanaweka categories ikiwamo fiction na documentaries
 
Back
Top Bottom