Wanaosema Prof Kikula na Uongozi wake ni wadini ni wapotoshaji na hawamjui Prof Kikula. Kikula ni mtu safi na asiye na matabaka hata kidogo, naweza nikamuita ni mpiganaji wa taaluma ya elimu ya juu. Kihistoria ni mtu anayefanya mabadliko makubwa katika kipindi kifupi. Namfananisha na Excavator Machine kwenye ardhi ya mawe (Consolidated rocky ground). Sote tumemshudia pale alipohamishwa kutoka mlimani (UDSM) na kwenda UCLAS leo hii inajulikana kama "Full Flagged" ARDHI UNIVERSITY. Kipindi anaingia pale PhD zilikua 4 ambazo 2 za kufoji, komputa 2 chuo kizima kwa ajili ya kufundishia wataalamu wa leo. "It was terrible by the time." Tembelea leo ARDHI alafu uliza " whom ones are remarkable to the all of the findings" Watu wenye upeo kama wako ndiyo watakaosita kumtaja Kikula na counterparts akina Prof. Kasseva, Majani, Chaggu, Meshack, n.k.Hao counterparts aliokuwa nao wote ni Christians na yeye ndiyo aliyeawteua, jiulize kulikuwa hakuna Muslim UCLAS, Au ndiyo bado mnasema tumebase sana madrasa? Au Hapa Kikula alikuwa Mkatoliki? Leo hii Ndiyo tuseme amesilmu? Nakuambia ukweli kipindi kikula anafanya kazi ya "transformation" from college to university alikuwa nazungukwa na majority wakirosto. Hakuna aliyewahi kulalamikia udini walakubaguliwa.
Mimi sishangai sana maana "Christians" hasa nyie RC wana tabia za watoto wa kambo, hawana jema. Hata JK na Mzee ruksa mmeshawahi kuwahesabia mawaziri. Leo hii wakuu wa vyuo, kesho wafagia barabara. Angalieni mnaamsha tuliolala!
... Then no need to occupy disk space, quiet was enough to show 'No comment'no coment
nimeweka za mzumbe wako kimya vinywa wazi.mamkwe tunashukuru kubainisha ukweli. Sasa tuleteee data kama hizo za sua, uclas, muhimbili na udsm.
Tulinganishe na kupata ukweli wa mambo.
Allah akubariki saaaaaaaaana
udini wa nyerere ndio ulimfanya amuweke mkapa awe rais wa tanzania kwa vile ni mkatoliki na mkristu mwenzie ingawa hakuwa na sifa ya urais.jee wewe ulimuelewa nyerere kumpa nchi mkapa na kumnyima malecela?haruna,
ulianza vizuri. Ila sasa unaanza kuharibu. Sijui kama umefikia hatua ya kuelewa nyerere alikuwa anamaanisha nini. Hata mie nilikuwa kama wewe hadi mzee kwenye tanzanet akaniambia "kijana, humjui jkn, wewe subiri uone". Nikamuuliza kwanini? Akasema "jkn alimsoma sana shakespeer." nilitaka kuvitafuta hivyo vitabu na nivisome ila nikaonywa kuwa "utasoma lakini hutaelewa, labda aje mtu akuelekeze..."
sasa kama ulimsikia jkn akisema malecela kasilimu, nafikiri hukumuelewa na pia sidhani kama alisema hivyo. Hii itakuwa ni zile story za kawawa funika kikombe ulizokuwa ukisikia mitaani.
Naanza kupata wasiwasi na makala yako ya juu kuhusu udom. sijui kama unaandika ukweli au na wewe ni mdini na mshabiki kwelikweli....
MADA KAMA HIZI KILA JK AFANYAPO TEUZI ZA WAISLAM HUWEKWA MADA HIZO KAMA UTEUZI WA ASHA ROSE MIGIRO-FOREIGN,BALOZI RAJAB ADADI,JAJI KIONGOZI JUNDU N.K.ulikuwa wapi kukemea uchonganishi huo?JF kama ni kijiwe cha watu wenye busara basi na wewe mleta data hizi ulipashwa kutumia busara zako wewe mwenyewe! Je hiki kitu ninacholeta hakitaligawa JF na nchi kwa Ujumla?? siyo kila kitu kinaletwa hapa!! hata kile cha uchonganishi kama huu!
Nasema hivyo humu kuna wachangiaji wa matabaka mbalimbali na wote hawawezi kukuelewa kama wewe unavyoamini.
Hivi mnatumia methodology gani kujua dini ya mtu?
unamwangalia usoni? au unaangalia jina lake au mnafanyaje wandugu?
Hivi wazungu nao wana udini na ukabila?
Mnajifunza nini nyie mnao shikia bango udini udini na ukabila nyamazeni nyie mmesoma nawashangaa kuanza kushikia bango maswala kama hayo nendeni mkapige shule na nyie muajiliwe huko...sio kufrahisha vinywa tu hapa.
Mimi nadhani jambo la udini linakuzwa na watu fulani kwa faida zao wenyewe.
Demokrasia sio domogasia. .
Lakini kama hata nafasi muhimu zinazohitaji sifa maalum kitaaluma zitafanyiwa mchezo wa viti maalum ni makosa makubwa. Kama mtu alala na kungojea kupewa ukurugenzi kwa sababu ya uislam wake au ukristo wake au jinsia yake basi akatafute kisiwa chake mwenyewe na kusubiri hilo.
Demokrasia sio domogasia. .
Ajabu ni kwamba wakati raisi Mkatoliki alipokuwa akiteuwa wakatoliki, sikuona watu wakilalama juu ya udini, Kwa wenye Akili Huru za kufikiri ni rahisi kubaini dhahiri kuwa wakorokotwa wa Udini ni nani hasa na Kwa maslahi ya nani.
Kuna nafasi nyingi za uongozi hapa nchini ambazo viongozi wake wanateuliwa na Raisi. Kinachotokea sasa ni kwamba Mkulu wa nchi ni Muislam akiteuwa muislam watu wanasema udini, lakini point ya msingi ni kwamba wanaoleta hoja za udini hawaleti vielelezo kuonyesha kuwa aliyeteuliwa hana sifa na vigezo vya kushika wadhifa huo bali, hukimbilia kulalama kuwa ni upendeleo wa dini. Hapa ndipo hoja ya kuwa pengine walalamikaji wana maslahi binafsi katika hili inapokuwa sahihi.
Ajabu ni kwamba wakati raisi Mkatoliki alipokuwa akiteuwa wakatoliki, sikuona watu wakilalama juu ya udini, Kwa wenye Akili Huru za kufikiri ni rahisi kubaini dhahiri kuwa wakorokotwa wa Udini ni nani hasa na Kwa maslahi ya nani.
Tatizo siyo KUTEULIWA. Mbona Nsekela alikuja kuwa analalamikiwa kuwa alijaza NBC Wanyakyusa? Yule Mpare wa Muhimbili sijui Mbaga na yeye akaja kulalamikiwa kuwa kajaza Wapare kwenye post zote za juu.
Anaweza kuteuwa Muislaam au Mpagani. Tatizo huyo aliyeteuliwa akiwa Mwizi, Mzembe, Fisadi na kupendelea Waislaam au Wakristo wenzake hapo ndipo shida inaanza. Au na kufisadi kwake kote, anaachwa kwa sababu tu ni muislaam. Hebu ona makampuni kama TRCL, Tanesco, NSSF, ATCL nk ambayo viongozi wake wanayauwa waziwazi kwa kufisadi na watu wanalalamika weee na hakuna kinachofanyika. Hebu kaangile ile video kaweka Invisible, jinsi Mwaarabu wanavyonyanyasa Wamasaai huko Loliondo na Mizengo Pinda hata hana habari............ Mkuu wa kaya anaenda tu kupata medali za dhahabu kwa kazi nzuri ya kuwaondoa Wamasaai kwenye ardhi yao. Mtu akisema, unaambiwa kuwa "Mnamshambuliwa kwa sababu ni Muislaam.......
MIMI NAONA MADA HII IKAE HAPA ILI UKWELI UJULIKANE.WAKATI UDOM INAANZA ILICHUKUWA WANAFUNZI ELFU TANO NA WAISLAM WALIKUWA 110. KAMA UONGOZI WA UDOM NI WA KIISLAM VIPI IDADI YAO IWE NDOGO KIASI HICHO? UONGOZI WA WANAFUNZI WOTE UMESHIKWA NA WAKRISTU.
NAOMBA KAMA SISI TUNA HURUMA NA MOYO WA MSHIKAMANO KWA TAIFA LETU TUPITIE NA VYUO KAMA UNIVERSITY OF DSM NA MZUMBE.
NILIWAHI KUSOMA UTAFITI FULANI NA KUAMBIWA KUWA ASILIMIA 96 YA WAHADHIRI WA UDSM NI WAKRISTU NA KATI YAO ASILIMIA 60 WAMETOKA SEMINARY ZA KIKRISTU.WEBSITE YA UDSM NI WWW,UDSM.AC.TZ
LAKINI MIMI NAOMBA LEO TUKITIZAME CHUO CHA MZUMBE. TIZAMA SEHEMU YA SELECTED CANDIDATES WA UNDERGRADUATE NA POSTGRADUATE WATU WA DINI GANI WAMECHAGULIWA?. UKIMALIZA HAPO NENDA KWENYE STAFFS DIRECTORY.
LABDA NIWEKE WATENDAJI WAKUU WA CHUO KIKUU MZUMBE.
SENIOR OFFICERS=CHANCELLOR-JAJI SAMATTA-MKRISTU.
VC PROFESSOR JOSEPH KUZILWA-MKRISTU.
DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC) NI PROFESSOR MAGISHI MGASSA-MKRISTU.
DEPUTY VC (ADMINSTRATION AND FINANCE) PROF-FAUSTINE KAMUZORA-MKRISTU.
SECRETARY TO THE COUNCIL DR.RAPHAEL J.HABI -MKRISTU.
HALAFU KUNA DEANS AND DIRECTORS.
DEAN-SOCIAL SCIENCIES-PROF-EULALIA TEMBA.
DEAN-FACULTY OF COMMERCE DR.JOSEPH KIMEME.
DEAN-SCIENCE AND TECHNOLOGY-PROF PHILBERT NDUGURU.
DEAN FACULTY OF LAW-ELEUTER MUSHI.
DEAN FACULTY OF MANAGEMENT-PROF JOSEPHAT IFIKA.
DIRECTORS KAMA WAFUATAVYO
ALLOYCE P.MAZIKU,EMMANUEL MATIKU,MAKOMBE,DR.AGGREY KIHOMBO,MRS.MATILDA KUZILWA,DR.ANDREW H.MBWAMBO,MR.ROSS KINEMO.
HALAFU KUNA ASSOCIATE DEANS.
DR.JEREMIAH KIRWAY-SOCIAL SCIENCIES.
MR.DAVIS J.MEELA =COMMERCE.
MR.HILLARY LUBENGO-LAW-MKRISTU.
MR.SIMON NJOVU -SCIENCE.
DR.RICHARCH GELLEJAH-MANAGEMENT.
DR.LETISIA WARIOBA -PUBLIC ADMIN.MKE WA VC ALIYEKUWA NA phD FEKI MZUMBE.
MR.ADOLFH MAKAUKI -DEVELOPMENT STUDIES.
HALAFU KUNA ASSOCIATE DIRECTORS MR.GABRIEL KOMBA-GRADUATE STUDIES.
MR.GEORGE BEA-LIBRARY.
OFFICE OF VC KUNA WATENDAJI WAFUATAO.
MR.PETER A.MBUGHUNI-HEAD-INTERNAL AUDIT.
MR.FOCUS J.MMARI -HEAD-PUBLIC RELATION.
HALAFU KUNA ASSISTANT OFFICERS OF DEPUTY VC.
MR.DIDALE BAASHA HEAD OF PERSONAL.
MR.JOHN TLEGARY HEAD OF FINANCE.
MR.GOLTFRIEND MWAMANGA-HEAD OF PLANNING.
MRS MARIAM M.NGOWI-HEAD OF STUDENTS WELFARE.
DR.BUNINI MANYILIZU HEAD-HEALTH SERVICES.
STEPHEN MPAPASINGO-HEAD -BUILDINGS AND ESTATES.
HALAFU KUNA ASSISTANT OFFICERS OF DEPUTY VICE CHANCELLOR-(ACADEMIC).
MR.NOEL MROPE SECRETARY TO SENATE.
MR.MICHAEL MTILA-EXAMINATION OFFICER.
MR.GEORGE IGULU-ADMISSIONS OFFICER.
DR.SESABO MTILA-QUALITY ASSURANCE UNIT.
NAOMBA WAISLAM WAKO WAPI HAPA MZUMBE? MMEFUMBA MACHO NA KUKAAA KIMYA. HADI MALECTURER FEKI NI WAKRISTU WAMEJIPENYEZA NA KUWA VC WA MZUMBE.
HAPO SIJAWEKA WAHADHIRI WA MZUMBE AMBAO NI HAO HAO WAKRISTU.
Ukisikia kumkoma nyani giladi ndio huku.
Kudos kanda2.
Yaani umefunika, umeweka sawa kila kitu. Analysis yako imekuwa very extensive. Duh! kumbe jamaa zetu ndivyo walivo. Nafasi zote wamehodhi wao.
The point ambayo watu wanaikosa humu ni moja tu. Waislamu hawapaswi kuonekana kwenye sehemu zozote za maendeleo na elimu. Wao wameshatengewa kazi zao ambazo ni upishi, usafi na udereva.
Hii inchi sasa inaelekea kubaya na wenyewe wameshasema kama HAWADANGANYIKI. Unajuwa facts kama hizi wakizipata wale jamaa zangu pale Mtambani, Kichangani au Kwa Mtoro bdio watazdi kuchanganyikiwa, si unauwa Jazbii walivyo.
Sikonge said:Tatizo siyo KUTEULIWA. Mbona Nsekela alikuja kuwa analalamikiwa kuwa alijaza NBC Wanyakyusa? Yule Mpare wa Muhimbili sijui Mbaga na yeye akaja kulalamikiwa kuwa kajaza Wapare kwenye post zote za juu.
Anaweza kuteuwa Muislaam au Mpagani. Tatizo huyo aliyeteuliwa akiwa Mwizi, Mzembe, Fisadi na kupendelea Waislaam au Wakristo wenzake hapo ndipo shida inaanza. Au na kufisadi kwake kote, anaachwa kwa sababu tu ni muislaam. Hebu ona makampuni kama TRCL, Tanesco, NSSF, ATCL nk ambayo viongozi wake wanayauwa waziwazi kwa kufisadi na watu wanalalamika weee na hakuna kinachofanyika. Hebu kaangile ile video kaweka Invisible, jinsi Mwaarabu wanavyonyanyasa Wamasaai huko Loliondo na Mizengo Pinda hata hana habari............ Mkuu wa kaya anaenda tu kupata medali za dhahabu kwa kazi nzuri ya kuwaondoa Wamasaai kwenye ardhi yao. Mtu akisema, unaambiwa kuwa "Mnamshambuliwa kwa sababu ni Muislaam.......
Sikonge,
..binafsi siamini kama JK ni Mdini na anataka kuisilimisha Tanzania.
..kwa kumsoma kwangu huyu Raisi wetu ni kwamba anapenda sana madaraka.
..kwa mtizamo wangu kama atateua Waislamu/Wakristo wengi zaidi ktk nafasi fulani basi ni kwasababu za Kisiasa siyo Kidini.
..teuzi nyingi za JK ni za kulipa fadhila za kisiasa kwa wale waliomsaidia ktk harakati zake za kutafuta Uraisi.