Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Ukisema wahalifu unakosea, jee hao wanaotetewa kisha mahakama ikawaona hawana hatia bado utaita wahalifu? Jiongeze kijana! Acha chuki zitakuua.Hana moral authority ya kuitwa mtetezi wa haki bali mtetezi wa wahalifu!