Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 396
Habari wana jamii!
Poleni na mambo ya uchaguzi uliomalizika ktk taifa kubwa duniani, na hongereni kwa wale mlio pata matokeo mliyo yatarajia.
Katika mada ya leo ningepada kujikita ktk uongozi wa taifa la Marekani ( trending news for now),as we know kua inabidi tujadili maswala mbalimbali ya taifa hili hasa ktk issues za politics and power kwakua kwa namna moja ama nyingine hua zinaathiri mataifa mengine duniani na TZ ikiwemo.
Ukifuatilia fununu mbali mbali za kiutawala kule USA utasikia hiki kitu, "shadow government " ama serikali kivuli kama nilivyojaribu kutafsiri mimi kwa jinsi nijuavyo.
Maelezo ni kwamba hii ni taasisi au group ya watu inayoshikilia ulimwegu hasa marekani yenyewe. (japo wengi husema ni conspiracy) lakin kuna dalili nyingi zinazoonesha kua ni kweli...
Kuna fununu kua wao ndio wanamiliki mabenki, taasisi kubwa kubwa za kiraia, pia wanaiongoza UN na ndio huamua agenda zote za kutawala ulimwengu kupitia mikataba mbali mbali ya UN
Lakini pia kuna fununu kua ndio wamehusika na mauaji ya marais mashuhuri wa marekani kutokana na kile kinachodaiwa kutokufuata maelekezo ya kundi hili..i:e JfK,Abr Link n.k
Inasemekana kua ndio walinyamazisha ndoto za Obama wakati wa uongozi wake juu ya yale aliokua anayaona yana faa na badala yake akafuata yale wanayotaka wao na mwishowe Obama amemaliza kipindi chake kwa tathimini kua amefail kufikisha pale wengi walipo patarajia.
Soma hapa. Shadow government (conspiracy) - Wikipedia
Sasa kama kweli kuna kundi la watu ambalo lina iongoza serikali hii ya marekani, je ni kwanini raia wanalaghaiwa na uchaguzi wa kutafta rais wakati wakijua wazi ni lazima marais hao wawe wafuata upepo tu na maelekezo ya serikali kivuli?
Naomba wajuzi wa mambo haya mje hapa mtutoe tongo tongo za hii kitu..
Karibu changia.
Poleni na mambo ya uchaguzi uliomalizika ktk taifa kubwa duniani, na hongereni kwa wale mlio pata matokeo mliyo yatarajia.
Katika mada ya leo ningepada kujikita ktk uongozi wa taifa la Marekani ( trending news for now),as we know kua inabidi tujadili maswala mbalimbali ya taifa hili hasa ktk issues za politics and power kwakua kwa namna moja ama nyingine hua zinaathiri mataifa mengine duniani na TZ ikiwemo.
Ukifuatilia fununu mbali mbali za kiutawala kule USA utasikia hiki kitu, "shadow government " ama serikali kivuli kama nilivyojaribu kutafsiri mimi kwa jinsi nijuavyo.
Maelezo ni kwamba hii ni taasisi au group ya watu inayoshikilia ulimwegu hasa marekani yenyewe. (japo wengi husema ni conspiracy) lakin kuna dalili nyingi zinazoonesha kua ni kweli...
Kuna fununu kua wao ndio wanamiliki mabenki, taasisi kubwa kubwa za kiraia, pia wanaiongoza UN na ndio huamua agenda zote za kutawala ulimwengu kupitia mikataba mbali mbali ya UN
Lakini pia kuna fununu kua ndio wamehusika na mauaji ya marais mashuhuri wa marekani kutokana na kile kinachodaiwa kutokufuata maelekezo ya kundi hili..i:e JfK,Abr Link n.k
Inasemekana kua ndio walinyamazisha ndoto za Obama wakati wa uongozi wake juu ya yale aliokua anayaona yana faa na badala yake akafuata yale wanayotaka wao na mwishowe Obama amemaliza kipindi chake kwa tathimini kua amefail kufikisha pale wengi walipo patarajia.
Soma hapa. Shadow government (conspiracy) - Wikipedia
Sasa kama kweli kuna kundi la watu ambalo lina iongoza serikali hii ya marekani, je ni kwanini raia wanalaghaiwa na uchaguzi wa kutafta rais wakati wakijua wazi ni lazima marais hao wawe wafuata upepo tu na maelekezo ya serikali kivuli?
Naomba wajuzi wa mambo haya mje hapa mtutoe tongo tongo za hii kitu..
Karibu changia.