Ukweli kuhusu sanaa ya utapeli na Akili za binadamu

Ukweli kuhusu sanaa ya utapeli na Akili za binadamu

Sawa nasubiriaaaa majina ya ajabu ajabu,hivi kwanini hawa wanasayansi wengi wao eti hawakuoa?
Wanasayansi wengi Hawaoi mostly wale magenius maana ubongo wao sio sawa na wetu sisi kwenye masuala ya emotions and feelings. Ndio maana huwa wako lonely and misery sana maana hawafit kwenye jamii sababu wanawaza nakufikiri katika dunia yao tofauti kabisa. Ndio maana unakuta wengine wanaruka hadi ruksi za mkanda..yaani ni anti social people.

Ubongo wao huwa unakaaa na kufikiri kitu kimoja kwa kina sana consistently hivyo hawana nafasi ya kufikiri mapenzi wala mpenzi na ngono kwao haiwapi pleasures na raha zaidi kama kufikiri jambo walilo na interest nalo aswaa ugunduzi wa kisayansi.

Tesla aliwahi kusema " Anapata orgasm tamu zaidi akifikiri kwa kina zaidi kuhusu "Current electricity" kuliko ngono"

Tofauti na sisi normal people bongo zetu zina nafasi kubwa zaidi ya kufikiria zaidi mapenzi maana tuna sehemu kubwa ya emotions and feelings.

I love you mke wa G.
 
Wanasayansi wengi Hawaoi mostly wale magenius maana ubongo wao sio sawa na wetu sisi kwenye masuala ya emotions and feelings. Ndio maana huwa wako lonely and misery sana maana hawafit kwenye jamii sababu wanawaza nakufikiri katika dunia yao tofauti kabisa. Ndio maana unakuta wengine wanaruka hadi ruksi za mkanda..yaani ni anti social people.

Ubongo wao huwa unakaaa na kufikiri kitu kimoja kwa kina sana consistently hivyo hawana nafasi ya kufikiri mapenzi wala mpenzi na ngono kwao haiwapi pleasures na raha zaidi kama kufikiri jambo walilo na interest nalo aswaa ugunduzi wa kisayansi.

Tesla aliwahi kusema " Anapata orgasm tamu zaidi akifikiri kwa kina zaidi kuhusu "Current electricity" kuliko ngono"

Tofauti na sisi normal people bongo zetu zina nafasi kubwa zaidi ya kufikiria zaidi mapenzi maana tuna sehemu kubwa ya emotions and feelings.

I love you mke wa G.
Jamani mi hayo maujiniazi siyatakii kabisaa,mapenzi matamu mnooo munooo sitaki kuwa nafikiria kitu kimoja mimi,nishazoea mapenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mim nitakuwa normal au ??
 
Jamani mi hayo maujiniazi siyatakii kabisaa,mapenzi matamu mnooo munooo sitaki kuwa nafikiria kitu kimoja mimi,nishazoea mapenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mim nitakuwa normal au ??
Ahahaha!! Nazionaga zile thread zako kule jukwaa letu la kizazi unaonekana wewe ni normal kabisa kwa zile kashikashi zako za mapenzi..mapenzini! Ushamlaza na viatu yule G kwa uchovu wa game la kizazi sana.

Kuna siku nimelala kitandani ghafla nikaanza kuwaza zile thread zako....nikajisemea yaani nikimpata mama Sabrina nitamchakaza!?

Thus, utagundua sisi wote ni normal tu....!
 
Ahahaha!! Nazionaga zile thread zako kule jukwaa letu la kizazi unaonekana wewe ni normal kabisa kwa zile kashikashi zako za mapenzi..mapenzini! Ushamlaza na viatu yule G kwa uchovu wa game la kizazi sana.

Kuna siku nimelala kitandani ghafla nikaanza kuwaza zile thread zako....nikajisemea yaani nikimpata mama Sabrina nitamchakaza!?

Thus, utagundua sisi wote ni normal tu....!
Hahahahahahaah wewee normal mwenzangu yaan hutaki kuwa genius ?oooo umeniangushaaaaa sanaa
Zile nyuzi huwa naandika nikifurahiiii sanaaa halaf nakuwaga na mzuka tu wa kuandika
 
Mimi nina huo ugonjwa wa Usonji sipendi watu kabisa muda mrefu nashinda ndani, Darasani km mwalimu hayupo siwezi kaa natoka nje na kutafuta sehemu iliyojificha hata km kwenye Dampo kuepuka fujo na kelele, najua kuchora vizuri, sidhani km nitakuja kuoa kwasababu naogopa matukio ya kimapenzi nanayoyashuhudia na kuyasoma, nakiri shuleni sikua vizuri ila nikitaka somo fulani nifaulu nafaulu kwa kiwango cha juu saana na linakua ni moja tu, Mtaani wananiita Archimedes napendelea Nature, wanyama sipendi binaadamu na wala sio muongeaji nikitaka kuongea kwa nguvu na haraka naishia kigugumizi na kulia.
Hebu nisaidie ni aina gani hii ya binaadamu, nimeshindwa kufanya kazi ktk sehemu mbalimbali nilizo ajiriwa kikubwa ni ukimya wangu na kupenda kujitenga
 
1653368991879.png

Quote of the Day!
 
Mwanangu wa kwanza wa kiume alizaliwa 10 October 2016 anatumia mikono yote,dada yake alizalia 20 January 2013 anatumia mikono yote kuna ka ukweli bila shaka
mimi natumia mikononi yote, mbaya zaidi kama ukiniuliza kwa haraka haraka upande wa kulia ni upi na kushoto upi si fahamu mpaka nitazame mkono niliovaa saa, daima saa navaa mkono wa kulia, mimi miungoni wa watu wenye miandiko mibaya walimu wangu wawili kutoka level tofauti wamekili kwenye ishu ya kufikili nilijifanyia uchunguzi, nikitumia mkono wa kulia nakuwa na mwandiko mbaya na kadri ninavyoandika mwandiko unakuwa mbaya kwa sababu nachemka kuenda na kasi ya ubongo mpangilio wa unakuwa sio nilioukusudia kukuta nimekata paragraph katika kazi yoyote ni kawaida sana hasa jambo ninaloliandika nikiwa nalifahamu

Nikitumia kushoto mwandiko mzuri, mtililiko wa mawazo unakuwa taratibu mno na wa uwakika
 
Back
Top Bottom