Kaka Sai
Member
- Jul 28, 2015
- 13
- 5
Kwa mtu Mwenye ufahamu juu ya PGDE naomba anijuze kama mtu Mwenye Bachelor Degree kutoka fani zingne kama Civil Engineering, IT n. K anawezaje kuchukua Masomo ya kufundishia pindi akihitimu PGDE yake,
Mfano IT shule nyingi serikalini hazina Somo la Tehama, ataweza kufundisha Somo lipi lingine na mwajiri wake amuelewe?
Je upande wa ajira ukiisha hitimu PGDE yake ni uhakika kwenye shule Za Umma?
Ni hayo tuu nawasilisha....
Mfano IT shule nyingi serikalini hazina Somo la Tehama, ataweza kufundisha Somo lipi lingine na mwajiri wake amuelewe?
Je upande wa ajira ukiisha hitimu PGDE yake ni uhakika kwenye shule Za Umma?
Ni hayo tuu nawasilisha....