Labdjainase
Member
- Jun 11, 2017
- 15
- 17
Outdated news indeed ...Ndege ilianza route June 13 jioni,ilifanya mwanza-dar vyema kabisa..Meaning ilikuwa ground for only 6 days na sio miezi kama mnavyodanganyana...Na ratiba zimerejea kama kawaida hakuna usumbufu wa aina yoyote lie.. Niwahakikishie kuwa Bombadier Q400 zote mbili kipo mzigoni kama kawa...hii ina land ile ina takeoff