Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,229
Mume anaoa ili atimiziwe haja za ngono na huduma nyingine za msingi za nyumbani ikiwemo kupikiwa chakula, kufuliwa nguo, kutandikiwa kitanda.
Mke anaolewa sababu ya kutafuta usalama wake na kuhudumiwa kwa mahitaji yake yote wakiwemo wazazi wake.
Kama haupo tayari USIOE wala KUOLEWA. Endelea kudanga
Mke anaolewa sababu ya kutafuta usalama wake na kuhudumiwa kwa mahitaji yake yote wakiwemo wazazi wake.
Kama haupo tayari USIOE wala KUOLEWA. Endelea kudanga