Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

Kweli mnaakili za kijinga hio hio bibilia ya John inakanusha kuwa Mungu mwinginenkabisa na Yesu.
usicho kijua Yesu ni Mungu Kamili
John_1-1.jpg
na ni Mwanadamu Kamili
john-1-14-450x450.jpg
img_4639-copy2.jpg
na iko siku utakunja goti na kukiri
051975fda12bb26194424b344ed682a7819923-wm.jpg
 
Wabongo mnanichoshaga hapa tu, mkianza kugombania visivyowahusu huku vyenu vikiwashinda mxxxuuuww ! Nna mashaka na uanaume wenu, isijekuwa kuna wadada watupu humu ! Kilosa hapo wanauana kila siku na hamtokwi na mikamasi kupigania mwenye haki apewe mnakalia ushambenga wa mambo yasowahusu, msokuwa na haya wala msojua vibaya ! Uchumi wenu m'bovu, mnapangiwa mpaka style za kulala na wake zenu lkn bado mishipa imewatoka kugombea watu msowajua ! Mmekaa km mashangingi ya uswahili yalojazana vibarazani kujadili waume za watu ilhali wao hawana hata wa kuwashika bega ! Badilikeni mnatia kinyaa ! Mna mengi ya kuyajadili yatakayosaidia vizazi vyenu !
 
usicho kijua Yesu ni Mungu Kamili View attachment 658784 na ni Mwanadamu Kamili View attachment 658786 View attachment 658787 na iko siku utakunja goti na kukiri View attachment 658790
Haha hebu kasome homework vizuri bibilia unayo isoma inakanusha kama Yesu ni Mungu dalili hizi hapa.


Bible Verses That Indicate Jesus Is Not God The Creator

1. Matthew 24:36
No one knows about that day or hour, not even the Son, but the Father only.
Here Jesus makes a distinction between what he knows and what the Father knows.

2. Matthew 26:39
My Father, if it is possible, may this cup be taken from me, yet not as I will, but as Thou will.
Jesus’ will is likewise autonomous from God’s Will. Jesus is seeking acquiescence to God’s will.

3. John 5:26
For as the Father has life in Himself, so he has granted the Son to have life in himself.
Jesus received his life from God. God received his life from no one. He is eternally self-existent.

4. John 5:30
By myself, I can do nothing: I judge only as I hear, and my judgment is just, for I seek not to please myself but him who has sent me.
Jesus says, “by myself, I can do nothing.” This indicates that Jesus is relying upon his own relationship with God. He is not trying to “please myself” but rather is seeking to “please the one who sent me.”

5. John 5:19
The Son can do nothing by himself; he can do only what he sees the Father doing, because whatever the Father does, the Son does also.
Jesus declares that he is following a pattern laid down by God. He is expressing obedience to God.

6. Mark 10:18
Why do you call me good? No one is good, exceptGod alone.
Here Jesus emphatically makes a distinction between himself and God.

7. John 14:28
The Father is greater than I.
This is another strong statement that makes a distinction between Jesus and God.

8. Matthew 6:9
Our Father, which art in Heaven.
He didn’t pray, Our Father, which art standing right here!”

9. Matthew 27:46
My God, My God, why hast thou forsaken me?
Inconceivable if he is God the Creator.

10. John 17:21-23
. . .that all of them may be one, Father, just as you are in me and I am in you. May they also be in us so that the world may believe that you have sent me. . ..that they may be one as we are one: I in them and you in me.
In this prayer Jesus defines the term “to be one.” It is clearly accomplished through the relationship of two autonomous beings. Christian believers are to model their relationship (to become one) after the relationship of God and Christ (as God and Christ are one). Notice that “to be one” does not mean to be “one and the same.”

11. 1 Corinthians 15:27-28
For he "has put everything under his feet." Now when it says that "everything" has been put under him, it is clear that this does not include God himself, who put everything under Christ. When he has done this, then the Son himself will be made subject to him who put everything under him, so that God may be all in all.
Paul declares that God put everything under Christ, except God himself. Instead God rules all things through Christ. (remember: “through him all things were made.”)

12. Hebrews 1:3
The Son is the radiance of God’s glory and the exact representation of his being.
Jesus is the exact representation of his being. I send my representative to Congress. He is not me, myself. He is my representative.

13. Hebrews 4:15 (compared with James 1:13)
For we do not have a high priest who is unable to sympathize with our weaknesses, but we have one who has been tempted in every way, just as we are—yet without sin.
Jesus has been tempted in every way, just as we are, yet he never sinned. See

James 1:13: When tempted, no one should say, God is tempting me. For God cannot be tempted by evil, nor does he tempt.
Jesus was tempted in every way, but God cannot be tempted. This is why Jesus said, “don’t call me good, none are good, only God.”

14. Hebrews 5:7-9
During the days of Jesus' life on earth, he offered up prayers and petitions with loud cries and tears to the one who could save him from death, and he was heard because of his reverent submission. Although he was a son, he learned obedience from what he suffered and, once made perfect, he became the source of eternal salvation for all who obey him
Jesus had to walk a course of faith and obedience in order to achieve perfection. By achieving perfection, Jesus “became” the source of eternal salvation.

Sa sijui we unasoma.kitabu kipi? Mpaa uamini Yesu ni Mungu😀
 
Haha hebu kasome homework vizuri bibilia unayo isoma inakanusha kama Yesu ni Mungu dalili hizi hapa.


Bible Verses That Indicate Jesus Is Not God The Creator

1. Matthew 24:36
No one knows about that day or hour, not even the Son, but the Father only.
Here Jesus makes a distinction between what he knows and what the Father knows.

2. Matthew 26:39
My Father, if it is possible, may this cup be taken from me, yet not as I will, but as Thou will.
Jesus’ will is likewise autonomous from God’s Will. Jesus is seeking acquiescence to God’s will.

3. John 5:26
For as the Father has life in Himself, so he has granted the Son to have life in himself.
Jesus received his life from God. God received his life from no one. He is eternally self-existent.

4. John 5:30
By myself, I can do nothing: I judge only as I hear, and my judgment is just, for I seek not to please myself but him who has sent me.
Jesus says, “by myself, I can do nothing.” This indicates that Jesus is relying upon his own relationship with God. He is not trying to “please myself” but rather is seeking to “please the one who sent me.”

5. John 5:19
The Son can do nothing by himself; he can do only what he sees the Father doing, because whatever the Father does, the Son does also.
Jesus declares that he is following a pattern laid down by God. He is expressing obedience to God.

6. Mark 10:18
Why do you call me good? No one is good, exceptGod alone.
Here Jesus emphatically makes a distinction between himself and God.

7. John 14:28
The Father is greater than I.
This is another strong statement that makes a distinction between Jesus and God.

8. Matthew 6:9
Our Father, which art in Heaven.
He didn’t pray, Our Father, which art standing right here!”

9. Matthew 27:46
My God, My God, why hast thou forsaken me?
Inconceivable if he is God the Creator.

10. John 17:21-23
. . .that all of them may be one, Father, just as you are in me and I am in you. May they also be in us so that the world may believe that you have sent me. . ..that they may be one as we are one: I in them and you in me.
In this prayer Jesus defines the term “to be one.” It is clearly accomplished through the relationship of two autonomous beings. Christian believers are to model their relationship (to become one) after the relationship of God and Christ (as God and Christ are one). Notice that “to be one” does not mean to be “one and the same.”

11. 1 Corinthians 15:27-28
For he "has put everything under his feet." Now when it says that "everything" has been put under him, it is clear that this does not include God himself, who put everything under Christ. When he has done this, then the Son himself will be made subject to him who put everything under him, so that God may be all in all.
Paul declares that God put everything under Christ, except God himself. Instead God rules all things through Christ. (remember: “through him all things were made.”)

12. Hebrews 1:3
The Son is the radiance of God’s glory and the exact representation of his being.
Jesus is the exact representation of his being. I send my representative to Congress. He is not me, myself. He is my representative.

13. Hebrews 4:15 (compared with James 1:13)
For we do not have a high priest who is unable to sympathize with our weaknesses, but we have one who has been tempted in every way, just as we are—yet without sin.
Jesus has been tempted in every way, just as we are, yet he never sinned. See

James 1:13: When tempted, no one should say, God is tempting me. For God cannot be tempted by evil, nor does he tempt.
Jesus was tempted in every way, but God cannot be tempted. This is why Jesus said, “don’t call me good, none are good, only God.”

14. Hebrews 5:7-9
During the days of Jesus' life on earth, he offered up prayers and petitions with loud cries and tears to the one who could save him from death, and he was heard because of his reverent submission. Although he was a son, he learned obedience from what he suffered and, once made perfect, he became the source of eternal salvation for all who obey him
Jesus had to walk a course of faith and obedience in order to achieve perfection. By achieving perfection, Jesus “became” the source of eternal salvation.

Sa sijui we unasoma.kitabu kipi? Mpaa uamini Yesu ni Mungu😀

usicho kijua Yesu ni Mungu Kamili View attachment 658784 na ni Mwanadamu Kamili View attachment 658786 View attachment 658787 na iko siku utakunja goti na kukiri View attachment 658790
 
Haha hebu kasome homework vizuri bibilia unayo isoma inakanusha kama Yesu ni Mungu dalili hizi hapa.


Bible Verses That Indicate Jesus Is Not God The Creator

1. Matthew 24:36
No one knows about that day or hour, not even the Son, but the Father only.
Here Jesus makes a distinction between what he knows and what the Father knows.

2. Matthew 26:39
My Father, if it is possible, may this cup be taken from me, yet not as I will, but as Thou will.
Jesus’ will is likewise autonomous from God’s Will. Jesus is seeking acquiescence to God’s will.

3. John 5:26
For as the Father has life in Himself, so he has granted the Son to have life in himself.
Jesus received his life from God. God received his life from no one. He is eternally self-existent.

4. John 5:30
By myself, I can do nothing: I judge only as I hear, and my judgment is just, for I seek not to please myself but him who has sent me.
Jesus says, “by myself, I can do nothing.” This indicates that Jesus is relying upon his own relationship with God. He is not trying to “please myself” but rather is seeking to “please the one who sent me.”

5. John 5:19
The Son can do nothing by himself; he can do only what he sees the Father doing, because whatever the Father does, the Son does also.
Jesus declares that he is following a pattern laid down by God. He is expressing obedience to God.

6. Mark 10:18
Why do you call me good? No one is good, exceptGod alone.
Here Jesus emphatically makes a distinction between himself and God.

7. John 14:28
The Father is greater than I.
This is another strong statement that makes a distinction between Jesus and God.

8. Matthew 6:9
Our Father, which art in Heaven.
He didn’t pray, Our Father, which art standing right here!”

9. Matthew 27:46
My God, My God, why hast thou forsaken me?
Inconceivable if he is God the Creator.

10. John 17:21-23
. . .that all of them may be one, Father, just as you are in me and I am in you. May they also be in us so that the world may believe that you have sent me. . ..that they may be one as we are one: I in them and you in me.
In this prayer Jesus defines the term “to be one.” It is clearly accomplished through the relationship of two autonomous beings. Christian believers are to model their relationship (to become one) after the relationship of God and Christ (as God and Christ are one). Notice that “to be one” does not mean to be “one and the same.”

11. 1 Corinthians 15:27-28
For he "has put everything under his feet." Now when it says that "everything" has been put under him, it is clear that this does not include God himself, who put everything under Christ. When he has done this, then the Son himself will be made subject to him who put everything under him, so that God may be all in all.
Paul declares that God put everything under Christ, except God himself. Instead God rules all things through Christ. (remember: “through him all things were made.”)

12. Hebrews 1:3
The Son is the radiance of God’s glory and the exact representation of his being.
Jesus is the exact representation of his being. I send my representative to Congress. He is not me, myself. He is my representative.

13. Hebrews 4:15 (compared with James 1:13)
For we do not have a high priest who is unable to sympathize with our weaknesses, but we have one who has been tempted in every way, just as we are—yet without sin.
Jesus has been tempted in every way, just as we are, yet he never sinned. See

James 1:13: When tempted, no one should say, God is tempting me. For God cannot be tempted by evil, nor does he tempt.
Jesus was tempted in every way, but God cannot be tempted. This is why Jesus said, “don’t call me good, none are good, only God.”

14. Hebrews 5:7-9
During the days of Jesus' life on earth, he offered up prayers and petitions with loud cries and tears to the one who could save him from death, and he was heard because of his reverent submission. Although he was a son, he learned obedience from what he suffered and, once made perfect, he became the source of eternal salvation for all who obey him
Jesus had to walk a course of faith and obedience in order to achieve perfection. By achieving perfection, Jesus “became” the source of eternal salvation.

Sa sijui we unasoma.kitabu kipi? Mpaa uamini Yesu ni Mungu😀
ilimu islamu hii ya mtume wa warabu imekulemaza mpaka umekuwa na akili kilema...nina uhakika haiwezekani mwanadamu kuweza kuwa Mungu jee?! Mungu hana Uwezo wa kuwa Mwanadamu? nimekuuliza hilo swali kulingana na aya zako ulizo jaza wala hazina mushkeli Biblia ilikuwa inamuongelea Yesu ktk Hali yake ya Ubinadamu
john-1-14-450x450.jpg
Kamili...labda ungejenga hoja kwamba Mungu hana Uwezo kihivyo ili ufe kaafir
 
Haaaa anakuja YESU,yalio gizan yatawekwa nuruni,yaliyo fichwa yatawekwa peupe.

~Saa yaja patajulikana nani ni nani,panani apewe nani na alistahili nani.sahiz woote tulipakuta na tumesoma historia za dini zetu.ila anakuja YESU
 
ilimu islamu hii ya mtume wa warabu imekulemaza mpaka umekuwa na akili kilema...nina uhakika haiwezekani mwanadamu kuweza kuwa Mungu
emoji15.png
jee?! Mungu hana Uwezo wa kuwa Mwanadamu? nimekuuliza hilo swali kulingana na aya zako ulizo jaza wala hazina mushkeli Biblia ilikuwa inamuongelea Yesu ktk Hali yake ya Ubinadamu
emoji117.png
View attachment 658895 Kamili...labda ungejenga hoja kwamba Mungu hana Uwezo kihivyo
emoji15.png
ili ufe kaafir
emoji83.png
[/QUOTEMungu gani we unaye.muongelea]
Haha yani unachekesha Mungu anakuambia yeye hafanani na kitu we unataka kumfananisha na sisi binadamu. Hivi huwa unasoma/mnasoma bibilia zenu vizuri au mnaimba tu kwaya . Hizo bibilia zenu zenakubaliana na Qur'an kuwa Mungu hafanani na kitu chochote kile soma Isaya 46.9 inasema nini?

Wacha nikusaidie kuweka quote; "Remember the former things long past, For I am God, and there is no other; I am God, and there is no one like Me,
ilimu islamu hii ya mtume wa warabu imekulemaza mpaka umekuwa na akili kilema...nina uhakika haiwezekani mwanadamu kuweza kuwa Mungu
emoji15.png
jee?! Mungu hana Uwezo wa kuwa Mwanadamu? nimekuuliza hilo swali kulingana na aya zako ulizo jaza wala hazina mushkeli Biblia ilikuwa inamuongelea Yesu ktk Hali yake ya Ubinadamu
emoji117.png
View attachment 658895 Kamili...labda ungejenga hoja kwamba Mungu hana Uwezo kihivyo
emoji15.png
ili ufe kaafir
emoji83.png
Poleni sana Yani pale bibilia inapinga mnasema Mungu alijibadilisha akawa anajisuta. Kweli wakristo wote hamna akili , hapo bibilia yenu Isaya 46.9 inasema Mungu hafanani na kitu chochote kile we unaleta ujinga eti Mungu anajibadilisha anakuwa binadamu. Sa akiwa binadamu sikisha fanana na mimi na wewe, sa kumbe wakristo mungu wenu ni muongo anajikanyaga kanyaga kwa kusema uwongo? Allah yeye hasemi uwongo hata siku moja , anasema hafanani na kitu na hatafananishwa na kitu chohote au kiumbe wowote yule.
 
Haaaa anakuja YESU,yalio gizan yatawekwa nuruni,yaliyo fichwa yatawekwa peupe.

~Saa yaja patajulikana nani ni nani,panani apewe nani na alistahili nani.sahiz woote tulipakuta na tumesoma historia za dini zetu.ila anakuja YESU
bibilia zenu zinasema Yesu alikufa ili achukue dhambi zenu? Sa tuwaelewe vipi? Kumbe yuko hai kwa hio Qur'an imewatoa ujinga hapo.
 
bibilia zenu zinasema Yesu alikufa ili achukue dhambi zenu? Sa tuwaelewe vipi? Kumbe yuko hai kwa hio Qur'an imewatoa ujinga hapo.
Weee usilete jasho lako la dini hapa sawa.ndio zinasema hivo na hivo ndivo ilivo na wala haita badilika.ng'ombe atabakia kuwa ng'ombe na mbuzi atabakia kuwa mbuzi.

~Huwezi kujua vya ng'ambo ya pili mpaka uvuke .naamini sana Yohana 1:1-3.

Nb;linga uti kwelewa pinya bhila ndikubhalonda abhakonyofu.
 
Weee usilete jasho lako la dini hapa sawa.ndio zinasema hivo na hivo ndivo ilivo na wala haita badilika.ng'ombe atabakia kuwa ng'ombe na mbuzi atabakia kuwa mbuzi.

~Huwezi kujua vya ng'ambo ya pili mpaka uvuke .naamini sana Yohana 1:1-3.

Nb;linga uti kwelewa pinya bhila ndikubhalonda abhakonyofu.
Wacha kuongea kinyarwanda hapa. Nauliza Yesu kafa au hakufa? Sa kama hakufa nani atachukua dhambi zenu😀
 
Wacha kuongea kinyarwanda hapa. Nauliza Yesu kafa au hakufa? Sa kama hakufa nani atachukua dhambi zenu😀
Msalaba kwa wanao potea kwao ni uupuuzi.

~Ulivyo sema ndivyo ilivyo hakufa tu kuja kuchukua dhambi zetu bali kutuweka huru tena huru mbali na dhadhi.na damu yake ingali ikinena mema.

~shida yako ni moja unataka kujua habari za upande wa pili wakati ww hauta kusaidia.

~Uswe tutikulonda i nongwa waefeso 6:12
 
Kwanza tuanze na mwaka wa 1948 ambao Israel ilitanganzwa kuwa taifa. Ukiangalia haraka haraka utagundua kuwa tamko la Rais Trump kuwa Yerusalem ni Mjii mkuu wa Israel laweza kuwa la kinabii, maana limetamkwa siku chache kabla ya kuingia 2018. Ikimaanisa 2017 kutoa 1948 ni miaka 70.

Je, miaka 70 maana yake nini Kibilia?

UNABII WA KWANZA:
“Kwa sababu [Waisraeli] hamkuyatii maneno yangu [Mungu], tazama, ninatuma . . . Nebukadreza mfalme wa Babiloni, . . . , nami nitawaleta wao [Wababiloni] juu ya nchi hii na juu ya wakaaji wake . . . Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”—Yeremia 25:8-11.

UTIMIZO:
Baada ya kulizingira jiji hilo kwa muda mrefu, Nebukadneza alilipora na kuliharibu Yerusalemu katika mwaka 607 K.W.K. Pia aliyashinda majiji mengine ya Yudea, kutia ndani Lakishi na Azeka. (Yeremia 34:6, 7) Aliwahamisha waokokaji wengi na kuwapeleka Babiloni ambako walikaa wakiwa mateka kwa miaka 70.

Historia inafunua nini?
● Biblia inaonyesha kwamba Nebukadneza ndiye aliyekuwa mfalme wa Babiloni karibu na wakati ambapo Yerusalemu liliharibiwa. Vitu vya kale vilivyochimbuliwa vinaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu kuwapo kwake. Jiwe fulani la shohamu lililo na mchongo limewekwa huko Florence, Italia. Sehemu fulani ya maandishi yaliyo juu ya jiwe hilo yanasema hivi: “Kwa heshima ya Merodaki, bwana wake, Nebukadneza, mfalme wa Babiloni, alipokuwa hai aliagiza hili lijengwe.” Nebukadneza alitawala kuanzia mwaka wa 624 hadi 582 K.W.K.
● Kitabu The Bible and Archaeology kinasema kwamba mambo yafuatayo yamethibitishwa baada ya eneo la Lakishi kuchimbuliwa na kufanyiwa uchunguzi: “Uharibifu wa mwisho ulikuwa wenye jeuri, na moto ulioharibu jiji [Lakishi] ulikuwa mkali sana hivi kwamba mawe ya chokaa yaligeuzwa kuwa ungaunga wa chokaa.”

UNABII WA PILI:
“Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni [mimi Mungu] nitawakazia ninyi fikira [Wayahudi walio uhamishoni], nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa [nchi ya Yuda].”—Yeremia 29:10.

UTIMIZO:
Baada ya miaka 70 ya uhamisho, kuanzia 607 hadi 537 K.W.K., Mfalme Koreshi wa Uajemi aliwaachilia Wayahudi waliokuwa utekwani na kuwaruhusu warudi nyumbani kwao ili wakajenge upya hekalu huko Yerusalemu.—Ezra 1:2-4.
Historia inafunua nini?

● Je, Waisraeli waliendelea kuwa mateka Babiloni kwa miaka 70 kama Biblia ilivyotabiri? Hebu ona maelezo ya Ephraim Stern, ambaye ni mmoja wa wataalamu wakuu wa wachimbuaji wa vitu vya kale nchini Israel. “Kuanzia mwaka wa 604 K.W.K. hadi 538 K.W.K.—hakuna uthibitisho unaoonyesha kuwa kuna mtu aliyeishi nchini Israeli. Wakati huo, hakuna hata mji mmoja ulioharibiwa na Wababiloni unaoonekana kuwa ulikuwa na watu.” Kipindi hicho ambacho hakukuwa na mtu katika eneo lililoshindwa kinapatana sana na uhamisho wa Waisraeli kupelekwa Babiloni kuanzia 607 hadi 537 K.W.K.—2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21.

Baada ya utawala wa Sulemani, taifa la Israeli likagawanyika sehemu mbili. Makabila kumi ya kaskazini waliitwa "Israel," na wao walidumu miaka 200 kabla ya hukumu ya Mungu kwa ajili ya ibada yao. Asiria ikatwaa Israeli kama watumwa karibu 721 BC. Makabila mawili katika kusini yaliitwa "Yuda," na wao walidumu muda mrefu kidogo, lakini hatimaye, pia, wakageuka kutoka kwa Mungu. Babeli aliwachukua mateka 600 BC

Miaka 70 baadaye, Mungu kwa neema aliwaleta mabaki ya wafungwa nyumbani kwa nchi yao wenyewe. Yerusalemu, mji mkuu, ulijengwa upya karibu 444 BC, na Israeli kwa mara nyingine tena ikawa na urahia wa taifa.

Kubomolewa kwa hekalu: Yesu alisema katika Mathayo 24:2, "...amin, amin nawaambieni, halitasalia hapa jiwe ambalo halitabomoshwa". Hii ni baada ya wanafunzi wake kumuonesha mawe ya hekalu na misingi yake ilivyo imara.Hekalu lilikuja kubomolewa miaka 70 AD.
329e13217ed2cf8ac84087ee7a39418d.jpg


Na sasa eneo hilo lilipokuwepo hekalu limejengwa msikiti wa alqsa. ,Lakini Kuna watu wanawadanganya wenzao kuwa SULEIMAN ndio alijenga huo msikiti ,Kitu ambacho sio kweli,

Hebu jiulize , ikiwa Muhamad kaja na uislamu miaka ya 600s AD , na kipindi hicho ndipo akaanza kujenga misikiti. , awali hapakuwa na Jengo linaloitwa msikiti,

Hili jambo hata mwenyewe muhamad, akijua ukweli huu, katika Quran 22:40 ameyatofautisha majengo haya KANISA, SINAGOGI, HEKALU NA MSIKITI.

MUNGU kupitia Nabii isaya miaka 2700 iliyopita alinena haya juu ya Taifa la wayahudi(ISRAELI)

ISAYA 14

"1 Maana Bwana atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye atawaweka katika nchi yao wenyewe; na mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na nyumba ya Yakobo.

2 Na hao mataifa watawatwaa na kuwaleta mpaka mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watawamiliki, na kuwafanya watumishi na wajakazi katika nchi ya Bwana; nao watawachukua hali ya kufungwa watu wale waliowafunga wao, nao watawamiliki watu wale waliowaonea"

KATIKA QURAN hakuna neno YERUSALEMU, biblia inayotumiwa na wayahudi na wakristo ,AGANO LA KALE/TANAKH imelitaja mara 5000+ neno yerusalemu, wakati Quran ikitafuta ushahidi wakuokoteza , ili kuhadaa watu kuhusu Uhalali wa umiliki wa YERUSALEMU.
Aisee!!!ubarikiwe sana,nimejifunza kitu
 
mnalishwa matango pori weweeee, na nyie mnakubali tu. aliyewalaani aliwaharibu kwelikweli. Mmekomaa tu tu Ibrahi Muisalmu. Uilslam umeletwa na Mohammad wenu miaka mingi sana hata baada ya Ukristo, huo uislam Ibrahimu aliupatae! Huko kwa waassi wenu wa Uislam hamna manabii? Kwani mmng'ang'anie Akina Musa, Daudi, Suleman, Zakaria ambao wote ni Wayahudi na wakati huo huo Wayahudi mnawalaani? Hakika mnaangamia kwa kukosa maarifa. Sasa mwenye Uislam wake amesema anaanzisha uhusiano rasmi na Israel wakati nyie mambwa mkotoana macho humu bi

Uyahudi Na Uisrael ni vitu viwili tofauti. Uyahudi ni dini kama ilivyo ukristu Na Uislam. Kuna waisrael ambao wanaamini Uyahudi (Jews), wengine Waislam na wengine ni wakristu.

Kwa kukudokezea tuu jina Israel Asali yake ni jina la umaaruf(kun’ya) la Nabii Yaquub (Jacob) kwa kule kulia lia kwake Na kutoka kipindi cha jua kuzama kwenda kumtafuta mwanae Yusuf ( Joseph)

Hao mitume ulowataja ni waisrael waislam Na uislam umeanza kwa Nabii Adam mpaka kwa Muhammad ( Amani ya Mwenyezimungu iwe juu yao) . Uthibitisho ni Aya Qur’an tukufu surat Al-Imran aya namba 67 ; “ Abraham was not a Jew Nor a Christian; But he was upright, And bowed his will to Allah’s, ( which is Islam). And he joined not gods with Allah. Soma Na ya aya ya 68 kwa faida yako mwenyewe.

Au hii aya aya sura ya 2 Surat Baqara aya ya 128 ambayo inaanzia 127 kuhusu Abraham n Ismail; “Our Lord! Make of us Muslims, bowing to Thy (Will) , And of our progeny a people Muslim, bowing to Thy (Will); And show is our places for the celebration of ( due) rites; And turn unto us (in Mercy); For Thou art the Oft-Relenting Most Merciful. Malizia Na ya 129 upate faida zaidi.

Na ukitaka kujua majina ya hao ulowataja kuwa ni waislam soma Qur’an Surat Anbiyaa ( sura ya Manabii) wametajwa mmoja mmoja kuanzia aya ya 51-91 akiwemo Daud (David) Na Suleiman (Solomon) Amani ya Mwenyezimungu iwe juu.

Tafadhali soma wala usitishwe eti kitabu hiki kina majini. Tumia hata app ya simu kusoma.

Ni katika kufahamishana tuu ndugu
 
Weee usilete jasho lako la dini hapa sawa.ndio zinasema hivo na hivo ndivo ilivo na wala haita badilika.ng'ombe atabakia kuwa ng'ombe na mbuzi atabakia kuwa mbuzi.

~Huwezi kujua vya ng'ambo ya pili mpaka uvuke .naamini sana Yohana 1:1-3.

Nb;linga uti kwelewa pinya bhila ndikubhalonda abhakonyofu.
Sa ngo'mbe na mbuzi si wote wanyama 😀
 
Msalaba kwa wanao potea kwao ni uupuuzi.

~Ulivyo sema ndivyo ilivyo hakufa tu kuja kuchukua dhambi zetu bali kutuweka huru tena huru mbali na dhadhi.na damu yake ingali ikinena mema.

~shida yako ni moja unataka kujua habari za upande wa pili wakati ww hauta kusaidia.

~Uswe tutikulonda i nongwa waefeso 6:12
Hahaha wakristo mkizidiwa ndio mlivyo. Sa tufahamu vipi hivi mtu akifa anarudi duniani? Hebu kanywe sumu wewe ili tuamini ni mfuasi kweli wa kikristo.😀
 
Back
Top Bottom