Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu habari za jioni, kipindi cha mwezi au miezi miwili iliyopita kulikuwa na mjadala uliopamba moto kwenye vyombo vya habari, wanasiasa na hata humu JF kuhusu malipo ya dowans na gafla sijaisikia tena je ishalipwa kimyakimya au serikali imegoma?yeyote mwenye kujua kuhusu hili pls atujulishe.
Nawakilisha
Nawakilisha