Ukweli kuhusu majini

Ukweli kuhusu majini

Uwepo wa majini ni imani sio fact, kosa mnalofanya nyinyi watoto wa majini ambao mnaoamini hao baba zenu wapo ni imani kuifanya fact.

Imani ni vitu vya kusadikika na visivyothibitishika bayana. Facts ni vitu vinavyoweza kuthibitishika kwa kuona,kushika,kugusa,kunusa,kupapasa,kusikia n.k
 
Uwepo wa majini ni imani sio fact, kosa mnalofanya nyinyi watoto wa majini ambao mnaoamini hao baba zenu wapo ni imani kuifanya fact.

Imani ni vitu vya kusadikika na visivyothibitishika bayana. Facts ni vitu vinavyoweza kuthibitishika kwa kuona,kushika,kugusa,kunusa,kupapasa,kusikia n.k
Hisia za binaadamu ni fact au imani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom